Democrasia nzuri ni kukubali kuwa mwenzako ameshinda na hiyo anastahili kuwa kiongozi wako. Tatizo letu Watanzania ni kuwa kuna baadhi yetu wanaamini kuwa nchi hii ni ya mtu au chama fulani. Hayo mawazo ni potofu sana. Nchi hii ni yangu mimi na wewe. Ni yetu sote. Ni YETU.CHADEMA yashinda Umeya Mwanza kwa kura 17 kwa 15:A S 8:
Hivi kafu (cuf) bado wanajiita ni an opposition party ?? Yaani wanawasaidia ccm ktk upigaji kura! Shame on them!!
Njaa zinawasumbua
CHADEMA yashinda Umeya Mwanza kwa kura 17 kwa 15:A S 8:
True?Buswelu habari za ukweli hizooo?
Buswelu habari za ukweli hizooo?