Sawa na yule diwani mmoja wa Arusha aliyejitoa CCM jana na kujiunga CDM.kwa hiyo kuna diwani mmoja wa CCM ame snitch wenzake hapo kwenye naibu meya, safi sana!
Sawa na yule diwani mmoja wa Arusha aliyejitoa CCM jana na kujiunga CDM.kwa hiyo kuna diwani mmoja wa CCM ame snitch wenzake hapo kwenye naibu meya, safi sana!
Mshindi Meya wa Mwanza ni Julius Manyerere (Chadema) amepata kura 17 Wakati wa CCM amepata Kura 15 Naibu Meya wa Mwanza Mshindi Ni Charles Chibela ( Chadema) Amepata kura 18 wakati wa CCM amepata Kura 14
Safi sana,idumu CHADEMA,chama cha kweli cha upinzani.Huu ndiyo upinzani wa kweli tuliokuwa tunausubili!!
mungu aibariki tanzania,mungu mbariki Dr.Slaa(Phd) mungu ibariki chadema.
TARATIBU cmm inaanza kupotea. madhara ya arusha jana yameigharimu sana.
Safi sana, Madiwani Mwanza wamegawanyika namna gani? Chadema wangapi, CCM wangapi, etc
Mshindi Meya wa Mwanza ni Julius Manyerere (Chadema) amepata kura 17 Wakati wa CCM amepata Kura 15 Naibu Meya wa Mwanza Mshindi Ni Charles Chibela ( Chadema) Amepata kura 18 wakati wa CCM amepata Kura 14
Uchaguzi huo umeshuhudiwa na Naibu Katibu mkuu Zitto Kabwe ambaye aliingia leo asubuhi na kusema sasa baada ya kushika Halmashauri sita wanataka kuonyesha mfano wa uongozi kwa CCM katika Halmashauri hiyo, kwanza amesema hazitapata hati chafu tena, na kwa vile zinayo mapato ya kutosha watahakikisha wananchi wanashuhudia mageuzi makubwa