nao
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 1,832
- 1,940
bila shaka nyie ni wasukuma typical, endeleen kuwachungisha ng'ombe watoto wenu badala ya kuwapeleka shule wakasome waje kuwakomboa hapo baadae, mmepigwa gap sana hata na jiran zenu. mmeshindwa kuiga mfano hata kwa hao jiran zenu wahaya! mtaendelra kutumikishwa maofisin maana ajira yenu kubwa hapo mjini ni ulinzi, usafi wa madirisha maofisin, shoeshine, ukokozi ziwani and the like! poleni sana vichwa vyenu bado viko katika usingizi wa milele!
Utabwabwaja sana Leo hadi koo likukauke ule ukweli tumekuweza uwaziri huupati ng'oo kachunge ng' ombe atakapo kuwepo mzee wenu sisi maisha yanaendelea .