mtoto wa maskini
JF-Expert Member
- Jun 28, 2013
- 1,152
- 636
Mkuu wenje kaaashinda ?
Kashinda
Mkuu wenje kaaashinda ?
We chiz kweli..kuna mkoa watu wameenda shule kama uchagani? Kuna mkoa una la.i hadi kibarzani kama k'njaro?....wasukuma mnapiga kura kwa mihemko ya ukabila tuu..ila ukilinganisha standard za maisha ya mtu mmoja mmoja na uchagani,nyie bado sanaa...kwanza wachaga elimu ipo kichwani pili ma fighter tatu tunajielewaa,Sio kama washamba wakiskuma....
We kaa apo jilinganishe na mchaga kama hujapotea..
Yaan sisi tunajeuri,tunawakata mabweg ccm na hawana cha kutufanya...Jarib wewe uone kama Pamba haijaozea darini...
Kwa hiyo Wenje akishinda wasukuma watakuwa wamejitambua?Sasa kama hamjitambui tufanyeje ssi?
Matokeo ya mwanza (nyamagana na ilemela) bado ni shidaaa kwa kweli
Matokeo ya mwanza (nyamagana na ilemela) bado ni shidaaa kwa kweli
ilemela shida tena si ccm wameshinda huko tunasubiria ya jembe letu wenje tu basi
ILEMELA shida tena si ccm wameshinda huko tunasubiria ya jembe letu Wenje tu basi
nipo mitaa ya nyegezi sasa hivi watu wanashangilia wenje ameshatangazwa mshindi .
Nipo mitaa ya Nyegezi sasa hivi watu wanashangilia Wenje ameshatangazwa mshindi .
Wenje out rasmi Azam tv
ushindi ni kwa mabula anatangazwa sasa hivi na mkurugenzi wa uchaguzi jimbo la nyamagana kura 81,700 na wenje 79,000 na ushee hivi....
Ushindi ni kwa Mabula anatangazwa sasa hivi na Mkurugenzi wa Uchaguzi jimbo la Nyamagana kura 81,700 na wenje 79,000 na ushee hivi....
Kwa kura ngapi kwa ngapi?