Mwanza: Majambazi yavamia Amazing View Bar Bwiru

Ni hekaheka maeneo ya bwiru vitu vimelia kama nusu saa ,ahueni ya kupost imepatikana sasa hivi
Ni kwamba wazee wa ngwasuma a.k.a wazee wa hapa kazi tu walitua katika ile bar mpya inayohit mwanza maeneo ya bwiru mwanzana kufyatua risasi takribani 30 nyingine zimelia kamaa mabomu,sijui ni majambazi ya kisasa hayo jamani
baada ya kama dakika kumi na tano police nao walifika na wamepita karibu na ka crib changu cgha kichovu nikiwaona kwa dirishani lakini boxer ikiwa tayari imekwishalowa na mkojo,cha kushangaza policemen wale walikuwa kwenye defender ya kizamani yenye engine inayotoa mlio wa kichovu imewasha taa,wao wako mbele kama sita wakiwa na bunduki(sijaelewa hiyo tactic sababu walikuwa wamejiexpose mno kwa maono yangu)
Na hiyo ni if kama hayo majambazi yalikuwa yamekimbilia chini ya chuo cha mipango maana ndipo polisi walipokuwa wanelekea hadi nikadhani labda majamaa yalikuwa yamepanga kutoroka na boti ziwani
***sina maelezo kuhusu casualty sababu bar ipo meters 200 toka hapa ghetto na sina mpango wa kutoka nawahi bafuni kufua boxer,Plus inasemekana last week yalifika the same place yakastukiwa sababu machine gun ilionekana imechomoza kwenye bag yalivyotiliwa shaka yakasepa, haijulikani ni wivu wa kibiashara haswa ukichukulia bar hiyo ilivyohit au ni issues personal.

Siku zingine usiwe unapenda sana kukimbilia Kulaumu Polisi na hili ndilo tatizo la Watanzania wengi kudhani kwamba Polisi pekee ndiyo wenye ' Jukumu ' kubwa la Kulinda Usalama na Mali zetu lakini kwa wenye akili kisawasawa wanasema kwamba ' Jukumu ' namba moja la Ulinzi wangu Mimi na Wewe ni Sisi Raia Kwanza ambao kwa 85% hadi 99% ndiyo tunaishi, tunakula, tunalala na hadi kucheka nao hao Wahalifu huko mitaani lakini huwa tunashindwa hata ' Kuwaripoti ' huko Polisi.

Ni kweli kwamba Jeshi letu la Polisi kwa kiasi fulani nalo lina mapungufu yake lakini nadhani hata Sisi Raia tuna wajibu vile vile wa kufanya ' Community Police ' halafu tukawa tumewasaidia kwa kiasi fulani hao Polisi kuja kumalizia sehemu itakayobaki ya Kuwakamata kiurahisi hao Wahalifu.

Niwapeni tu pole hao wote waliokumbwa na hiyo kadhia hapo katika hiyo Baa ila kwa uzoefu wangu mdogo sana wa masuala mazima ya Ulinzi na Usalama naweza kusema kwamba mpaka hao Wahalifu / Majambazi wameweza kufika hapo na kama ulivyosema / ulivyotanabaisha kwamba hii ni mara yao ya pili basi kuna uwezekano mkubwa sana Wahudumu wa hapo baadhi yao ' wamechomesha ' na wanashirikiana nao au kuna Wateja ' maarufu ' wa hiyo Baa ndiyo wanachora ' ramani uhalifu ' yote hiyo hadi yanatokea hayo yaliyotokea.

Wahenga hawakukosea kabisa na ule msemo wao kwamba " siku zote Kikulacho ki nguoni mwako ".
 
Hapo chuo hao walinzi si wanazo vilevile.ila kama wameshuka huko itakuwa ni mkondo wa kirumba huo.hawawez kwenda ilemela.
wakiwa na viber wataweza nenda hadi visiwani,kirumba si watajipeleka kigoto au?
 
Siku zingine usiwe unapenda sana kukimbilia Kulaumu Polisi na hili ndilo tatizo la Watanzania wengi kudhani kwamba Polisi pekee ndiyo wenye ' Jukumu ' kubwa la Kulinda Usalama na Mali zetu lakini kwa wenye akili kisawasawa wanasema kwamba ' Jukumu ' namba moja la Ulinzi wangu Mimi na Wewe ni Sisi Raia Kwanza ambao kwa 85% hadi 99% ndiyo tunaishi, tunakula, tunalala na hadi kucheka nao hao Wahalifu huko mitaani lakini huwa tunashindwa hata ' Kuwaripoti ' huko Polisi.

Ni kweli kwamba Jeshi letu la Polisi kwa kiasi fulani nalo lina mapungufu yake lakini nadhani hata Sisi Raia tuna wajibu vile vile wa kufanya ' Community Police ' halafu tukawa tumewasaidia kwa kiasi fulani hao Polisi kuja kumalizia sehemu itakayobaki ya Kuwakamata kiurahisi hao Wahalifu.

Niwapeni tu pole hao wote waliokumbwa na hiyo kadhia hapo katika hiyo Baa ila kwa uzoefu wangu mdogo sana wa masuala mazima ya Ulinzi na Usalama naweza kusema kwamba mpaka hao Wahalifu / Majambazi wameweza kufika hapo na kama ulivyosema / ulivyotanabaisha kwamba hii ni mara yao ya pili basi kuna uwezekano mkubwa sana Wahudumu wa hapo baadhi yao ' wamechomesha ' na wanashirikiana nao au kuna Wateja ' maarufu ' wa hiyo Baa ndiyo wanachora ' ramani uhalifu ' yote hiyo hadi yanatokea hayo yaliyotokea.

Wahenga hawakukosea kabisa na ule msemo wao kwamba " siku zote Kikulacho ki nguoni mwako ".
bwana gemta nimelaumu wapi polisi actually polisi wamewafukuza hadi chini maeneo ya ziwani,nilichoshangaa ni tactic ya police kuwasha taa ya defender chovuchovu na wao kutangulia kama sita wakiwa wamejipanga mstari,hii ni hatari kama hayo majambazi kungekuwa na sniper,ila nahisi police wetu wawezeshwe hata na vile vifaa vya kuonea usiku(googles)au zile thermal heats(kama sijakosea)
Ungeona nilichokiona leo ungeona huruma jinsi police wetu wanavyokuwa exposed kwenye hatari kama hizi
 
Siku zingine usiwe unapenda sana kukimbilia Kulaumu Polisi na hili ndilo tatizo la Watanzania wengi kudhani kwamba Polisi pekee ndiyo wenye ' Jukumu ' kubwa la Kulinda Usalama na Mali zetu lakini kwa wenye akili kisawasawa wanasema kwamba ' Jukumu ' namba moja la Ulinzi wangu Mimi na Wewe ni Sisi Raia Kwanza ambao kwa 85% hadi 99% ndiyo tunaishi, tunakula, tunalala na hadi kucheka nao hao Wahalifu huko mitaani lakini huwa tunashindwa hata ' Kuwaripoti ' huko Polisi.

Ni kweli kwamba Jeshi letu la Polisi kwa kiasi fulani nalo lina mapungufu yake lakini nadhani hata Sisi Raia tuna wajibu vile vile wa kufanya ' Community Police ' halafu tukawa tumewasaidia kwa kiasi fulani hao Polisi kuja kumalizia sehemu itakayobaki ya Kuwakamata kiurahisi hao Wahalifu.

Niwapeni tu pole hao wote waliokumbwa na hiyo kadhia hapo katika hiyo Baa ila kwa uzoefu wangu mdogo sana wa masuala mazima ya Ulinzi na Usalama naweza kusema kwamba mpaka hao Wahalifu / Majambazi wameweza kufika hapo na kama ulivyosema / ulivyotanabaisha kwamba hii ni mara yao ya pili basi kuna uwezekano mkubwa sana Wahudumu wa hapo baadhi yao ' wamechomesha ' na wanashirikiana nao au kuna Wateja ' maarufu ' wa hiyo Baa ndiyo wanachora ' ramani uhalifu ' yote hiyo hadi yanatokea hayo yaliyotokea.

Wahenga hawakukosea kabisa na ule msemo wao kwamba " siku zote Kikulacho ki nguoni mwako ".
100% upo sawa. Umuhimu wao tunauona pale tukivamiwa na majambazi lakini tukiwa tunakula raha tunawafanya ni adui zetu.
 
inawezekana sasa hata kwenda bundesliga nyasaka inabidi tuogope, hata kwa komba pale si walipaua kijinga kwa uvamizi kama huu,ila inaonekana hii ni personal vendetta au kuharibiana biashara
Nadhani hata ile screen kubwa ya kuangalia soccer pale Kembice Hotel Rufiji St. (Mwanza), nayo itakuwa shida kama ni hivyo. Nilipanga pale siku kama 3 hivi kipindi cha soka la Africa watu wengi walipenda. Sasa kama kuna hizi AK za visasi ndio basi tena. Bora kuangalia home.
 
Nadhani hata ile screen kubwa ya kuangalia soccer pale Kembice Hotel Rufiji St. (Mwanza), nayo itakuwa shida kama ni hivyo. Nilipanga pale siku kama 3 hivi kipindi cha soka la Africa watu wengi walipenda. Sasa kama kuna hizi AK za visasi ndio basi tena. Bora kuangalia home.
Nenda bar Kigoto hakuna jambazi anathubutu kwenda huko
 
nahisi kuna shida kwa matajiri wa mwanza
Nadhani hata ile screen kubwa ya kuangalia soccer pale Kembice Hotel Rufiji St. (Mwanza), nayo itakuwa shida kama ni hivyo. Nilipanga pale siku kama 3 hivi kipindi cha soka la Africa watu wengi walipenda. Sasa kama kuna hizi AK za visasi ndio basi tena. Bora kuangalia home.
 
Sasa hao majambazi wako mbali hivyo unajikojolea je ingekuwa wamekuja kwako ungefanyaje ?

Jibu kaa nalo mwenyewe tu
we ungefanyaje? jibu usikae nalo,risasi za polisi zimelilia dirshani kwangu huku majamaa yakijbu mita kama 20 hapo yakiwa yanafukuzwa unadhani taharuki ndogo hiyo,je risasi zingekata kona?
 
Sasa wewe upo mita 200 unajikojolea,Waliokuwa hapo bar si wamejiharishia kabisa.
Huyu mkuu taarifa alivyoileta inatia ukakasi, anasema zimepigwa risasi kwa nusu saa, alafu tena anasema zilikuwa risasi thelathini tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom