Ndo tayari wameuwa... Hii ndo bongo mzee utandikwa risasi kisha unatupiwa kesi....Wamedhibitishaje malengo ya walio uawa kuwa walitaka kufanya uhalifu, inawezekana wamesingiziwa hawa, na adhabu ya kutaka kufanya kosa/ jinai sio kuuwawa kwa mujibu wa sheria zetu, chombo pekee chenye mamlaka ya kumtia MTU hatiani na kumuadhibu ni mahakama
Msangi alishaondolewa mwanza siku mingu mkuuMsangi chuma cha reli, moja kati ya makamanda ambao hawacheki na majambazi.
sio Msangi ni ShannaMsangi chuma cha reli, moja kati ya makamanda ambao hawacheki na majambazi.
sio Msangi ni Shanna
Duh ama kweli, yuko wapi?Msangi alishaondolewa mwanza siku mingu mkuu
unamkamata sa ngapi kwenye majibizano ya risasi,,?Kwanini wasiwakamate kwanza wakapata ushahidi wakafuata sheria,aiseee
hapana,, alihamishiwa makao makuu i hope kapata shavu huko.Samahani kwa usumbufu ina maana Msangi kashatenguliwa
Umeona mahala wanasema kuwa wanajibizana kwa risasiunamkamata sa ngapi kwenye majibizano ya risasi,,?
ni kufyekelea mbali tu,,
Kuwarushia policcm risasi ni kosa ki sheriaWamedhibitishaje malengo ya walio uawa kuwa walitaka kufanya uhalifu, inawezekana wamesingiziwa hawa, na adhabu ya kutaka kufanya kosa/ jinai sio kuuwawa kwa mujibu wa sheria zetu, chombo pekee chenye mamlaka ya kumtia MTU hatiani na kumuadhibu ni mahakama
Soma headingUmeona mahala wanasema kuwa wanajibizana kwa risasi
Dawati la Jinsia Polisi Makao Makuu. Ova!Duh ama kweli, yuko wapi?