
- Joined
- Apr 1, 2013
- Messages
- 3,527
- Likes
- 116
- Points
- 160

manning
JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2013



KWA MUDA SASA kuna sauti za mabomu au risasi maeneo ya polisi central karibu na ccm. Walioko jirani tujuzeni kuna nini. kwa maana asubuhi kulikuwa na misululu mirefu ya waislam wakielekea maeneo hayo.