Brigedia Chan-ocha
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 1,353
- 2,842
Maduka mengi ya raia wa kitanzania wenye asili ya kihindi hayatumii mashine za EFD's, TRA mkoa wa Mwanza sijui wanafanya kazi gani maofisini? serikali inakosa mapato, wafanyabiashara wanapata faida kubwa sana kwa kuiibia serikali.
Mkoani mwanza, maduka yanayouza pikipiki, magodoro, TV, nk. hayatumii mashine hizi, mashine wanazo ila ukifika wanakuandikia resit za kawaida, ukiuliza mbona hunipi resit ya EFD wanasema, kama unataka EFD BEI NI TOFAUTI, sasa kwa watanzania hawa ninao wajua ukishawaambia hivyo wenyewe wanaondoka tu...!
Ki ukweli, TRA bado sana, tokeni maofisini mwende field, kwani hamna kikosi cha mashushushu? mnaweza mkawaagiza vijana wenu waende madukani, mnawapa fedha kabisa ili wajifanye kama wananunua bidhaa ili mthibitishe madai haya, msisubiri mwananchi aliyefanyiwa hivyo aje kwenu, wengine huo muda hawana.
Kamishna wa TRA toka ofisini nenda field.
Mkoani mwanza, maduka yanayouza pikipiki, magodoro, TV, nk. hayatumii mashine hizi, mashine wanazo ila ukifika wanakuandikia resit za kawaida, ukiuliza mbona hunipi resit ya EFD wanasema, kama unataka EFD BEI NI TOFAUTI, sasa kwa watanzania hawa ninao wajua ukishawaambia hivyo wenyewe wanaondoka tu...!
Ki ukweli, TRA bado sana, tokeni maofisini mwende field, kwani hamna kikosi cha mashushushu? mnaweza mkawaagiza vijana wenu waende madukani, mnawapa fedha kabisa ili wajifanye kama wananunua bidhaa ili mthibitishe madai haya, msisubiri mwananchi aliyefanyiwa hivyo aje kwenu, wengine huo muda hawana.
Kamishna wa TRA toka ofisini nenda field.