Mmmh...nani alipe hasara tuliopata?Kweli,Rais Leo kasema tena,wahamishwe baada ya maandalizi
Hao waliovunja peleka mahakani.Mmmh...nani alipe hasara tuliopata?
Mmmh...nani alipe hasara tuliopata?
Nimependa wazo lako.Waandaliwe kwanza sehemu
Kisha wapelekwe
Wanakoenda kumeandaliwa?Hapana aisee..
Hapa kuna kitu hakipo sawa,kwa nini asingezuia kabla?watu wameshapata hasara na walishaenda huko walipopelekwa leo anasema warudi?
Taatifa za kuondoshwa zilikiwepo muda mrefu na hata kwenye vyombo vya habari tuliona wananchi wakilia wakiomba wasiondolewe hakuna aliyejitokeza kusitisha.
Hii ni kuchonganisha wananchi na watumishi wengine
Matamko ya kila kiongozi,,,da sasa huyu mama mkuu wa wilaya Nyamagana aibu anaiweka wapi,,,,,,,
angalia hapa anachokisema,,,,,,
fIESTA AU Makoroboi?Imooooooooooo!!!!!
Waandaliwe kwanza sehemu
Kisha wapelekwe
Wanakoenda kumeandaliwa?