johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,831
Mwanza na Mbeya ni mikoa inayotegemeana na kutendeana haki, hongereni sana.
Ujio wa komredi Albert Chalamila unakwenda kuinua zaidi uchumi wa mkoa wa Mwanza, jambo la muhimu ni kumpa ushirikiano wa kutosha na kuchapa kazi.
Mwanza limetoka jembe limeingia sululu, Yote heri.
Mungu awabariki!
Ujio wa komredi Albert Chalamila unakwenda kuinua zaidi uchumi wa mkoa wa Mwanza, jambo la muhimu ni kumpa ushirikiano wa kutosha na kuchapa kazi.
Mwanza limetoka jembe limeingia sululu, Yote heri.
Mungu awabariki!