fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,411
- 7,966
SimiyuHivi jamaa kapelekwa wapi?..
Huwa ana lafudhi flani hivi kama zile za wapiga unga
SimiyuHivi jamaa kapelekwa wapi?..
Huwa ana lafudhi flani hivi kama zile za wapiga unga
Wanajamvi tujitahidi uandishi wetu usiwe wa karaha.Mkuu naona una mimba yangu! Njoo inbox tumalize tofauti zetu pls!
Mkuu miaka yangu yote hapa JF sijawahi kubehave vibaya kwa mtu yoyote ila huyu Mmawia kaniharibia swaumu yangu kabisa...yaani kila ninapogusa yupo na lazima atukane tu!Wanajamvi tujitahidi uandishi wetu usiwe wa karaha.
kwani huyo jamaa ni demu wako?
Dan! Sasa Mama Mongella ana utemi gani kwa watumishi? Au humjui?Labda mke wa Mongella atapunguza ubabe na uonevu kwa watumishi wa umma na hasa trafic, ila Simiyu na Mwanza sio mbali ngoja tuone!
BUKOBA YENYEWE INA MAJUNGU NA FITNA!,Kila mtu mjuaji,ndio maana maendeleo hayaonekani.Ntwara imekula kwao sababu huyu jamaa hamna kitu ss wa Bukoba tumefurahi Sana kuondoka kwake.hana mwamuzi na anapenda Sana majungu huwezi jua Kama ni mjeshi
Namjua sana tu, natamni niweke visa viwili ika kwasababu mtendewa ni mimi nitafahamika kirahisi tu....mkuu acha yapite maana hakuna aliye mkamilifu hapa dunianiDan! Sasa Mama Mongella ana utemi gani kwa watumishi? Au humjui?
Hana strategies yeye kujaza bajaj zake tuuuuanaharibu jijiNgoja aje kuwajazia bajaji mjini.
Hata mimi namjua sana ndio maana nakushangaa "eti" ananyanyasa watumishi. Kwanza ni watumishi wachache wa Jiji la Mwanza wanaomjua kuwa ni Mama Mongella kwasababu hana 'show off'.Namjua sana tu, natamni niweke visa viwili ika kwasababu mtendewa ni mimi nitafahamika kirahisi tu....mkuu acha yapite maana hakuna aliye mkamilifu hapa duniani
Bado kuna tatizo la kiongozi mkali na mwenye maamuzi bukoba. Ila ukiwa mswahili wahaya wanakupanda kichwani.BUKOBA YENYEWE INA MAJUNGU NA FITNA!,Kila mtu mjuaji,ndio maana maendeleo hayaonekani.
Weka, usipoweka ni unafiki.Namjua sana tu, natamni niweke visa viwili ika kwasababu mtendewa ni mimi nitafahamika kirahisi tu....mkuu acha yapite maana hakuna aliye mkamilifu hapa duniani
🤣🤣🤣Kabisa Hana maamuzi wahaya walimpelekesha mno.we utakuaje mkuu wa mkoa na stendi inabaki hiv tuView attachment 1786762
ArushaHivi jamaa kapelekwa wapi?..
Huwa ana kalafudhi flani hivi kama zile za wapiga unga
Mungu sio binamu yako kumtaja kwa dhihakaPoleni mwanza mmekosea nn Mungu
🙏🙏🙏Mwanza inajengwa na wana Mwanza wenyewe na siyo hawa wanasiasa wanaokuwepo kwa muda mfupi na kisha kuondoka.
Kama uelewi huwezi elewaMungu sio binamu yako kumtaja kwa dhihaka