Wamunzengo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 810
- 321
Hii sensa kama serikali inasoma ramani imeshachemka
Mkuu, wanasema hivi "huhitaji kuwa kuku kujua kama yai ni bovu". tatizo la serikali ya ccm, hawataki kushauriwa. hii nchi ni yetu sote, tunahitaji kuwa na muafaka katika mambo fulanifulani ili sote twende kwa pamoja. sasa wao ni ubabe tuuuu, kisa eti wana mabunduki na mawasha washa. binadamu huwezi kumpelekapeleka kama kondoo. hili zoezi la sensa lina walakini, haya ngoja tuone, ila halitafanikiwa kwa kiasi kikubwa, labda wa-cook data.