Usahili ushafungwa now wanapata semina ili zoezi lianzeKama bado kuna nafas au ni namna gan kaz zinapatikana...tujulishe tuwatonye wana wengine mtaani...
Ahsante
Kila kitu ni ujanja ujanjaUsahili ushafungwa now wanapata semina ili zoezi lianze
Zilitangazwa miezi mitatu iliyopita na tangazo lilibandikwa kila ofisi ya mtendaji wa mtaa nchi nzimaKazi zilitangazwa lini na wapi