Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 948
- 1,092
Habari watanzania.
Napenda kuwakaribisha wananchi wote mlio nje na mkoa wa Mwanza ambao mtapenda aidha kuwekeza, kutembelea au kufanya maisha hapa mkoani Mwanza nawakaribisha sana.
Njoo Mwanza njoo wilaya ya Nyamagana hata ukiwa mgeni au mwenyeji tutakuhudumia kwa kukupa ukarimu, kukuonyesha fursa na maeneo ambayo pengine ungependa ufanye biashara au kuweka taasisi yako.
Nyamagana ni wilaya nzuri, imechangamka, kuna watu wengi, fursa za kibiashara za kumwaga, haijalishi hali yako napenda kukukaribisha sana Mwanza mjini Nyamagana mji wa kibiashara na kufanya maisha.
Usiogope kuhusu hali ya kisiasa hapa Mwanza ni salama kabisa uchumi wako utaheshimiwa kwa gharama yoyote kikubwa karibu sana Nyamagana Mwanza.
By
Mtoto wa mjini
Nyamagana stand up.
Napenda kuwakaribisha wananchi wote mlio nje na mkoa wa Mwanza ambao mtapenda aidha kuwekeza, kutembelea au kufanya maisha hapa mkoani Mwanza nawakaribisha sana.
Njoo Mwanza njoo wilaya ya Nyamagana hata ukiwa mgeni au mwenyeji tutakuhudumia kwa kukupa ukarimu, kukuonyesha fursa na maeneo ambayo pengine ungependa ufanye biashara au kuweka taasisi yako.
Nyamagana ni wilaya nzuri, imechangamka, kuna watu wengi, fursa za kibiashara za kumwaga, haijalishi hali yako napenda kukukaribisha sana Mwanza mjini Nyamagana mji wa kibiashara na kufanya maisha.
Usiogope kuhusu hali ya kisiasa hapa Mwanza ni salama kabisa uchumi wako utaheshimiwa kwa gharama yoyote kikubwa karibu sana Nyamagana Mwanza.
By
Mtoto wa mjini
Nyamagana stand up.