Mwanza hapakutosha, maandamano ya amani zaidi ya saa moja katikati ya Jiji

Tumaini Makene

JF-Expert Member
Jan 6, 2012
2,642
6,071
Wakuu

Leo CHADEMA imefanya kufuru nyingine katika Jiji la Mwanza. Umefanyika mkutano mkubwa katika Uwanja wa Sahara ambao uko maeneo ya katikati kabisa ya Jiji hili lililozungukwa na madhari ya milima yenye utajiri wa madini na Ziwa Viktoria lenye utajiri wa samaki, uliofuatiwa na maandamano makubwa ya amani yaliyodumu kwa saa nzima na zaidi.

Siku ya leo wananchi wa Mwanza wamepeleka ujumbe mkubwa sana kwa watawala. Kwanza kwa namna isiyokuwa ya moja kwa moja, wame-challenge umuhimu wa ile sheria inayohitaji wananchi 'kuomba' (au kutoa ripoti?) kibali cha kuomba kuandamana.

Pili wametuma ujumbe tena kwa mara nyingine kuwa maandamano ya CHADEMA yasipoingiliwa na polisi, hayawezi kuwa na vurugu hata kidogo. Watu mbalimbali, wanaume kwa wanawake, watoto kwa wakubwa, vijana kwa wazee, wameandamana na msafara wa Katibu Mkuu, Dkt. Slaa kutoka eneo la mkutano mpaka Hotel aliyokwenda kupumzika.

Hakuna namna nyingine ya kuweza kuita hali hiyo isipokuwa kusema wazi kuwa yalikuwa maandamano ya amani kwa takriban saa 1 na kitu. Jiji la Mwanza kwa muda wote huo hasa maeneo ya katikati hadi maeneo ya Bwiru shughuli zilisimama kwa muda. Jiji lili-paralyze kwa muda.

Vijana wanaimba "mafisadi wajiuzulu, mafisadi wajiuzulu". Ilikuwa ni baada ya nondo za uhakika kupigwa pale uwanjani, kuhamasisha masuala mbalimbali ikiwemo vita takatifu dhidi ya UFISADI na MAFISADI.

Mkutano wa leo Mwanza umehitimisha ziara ya siku 10 ya Dkt. Slaa kukagua uhai wa chama katika mikoa 5 ya Tabora, Shinyanga, Simiyu, Geita na Mwanza ambayo ilikuwa ni mwendo wa vikao vya ndani asubuhi, mchana, jioni mikutano ya hadhara kisha vikao vya ndani tena usiku.

Maandamano yalikuwa makubwa kwa kweli. Watu wamehamasika. Rebellion dhidi ya CCM na utawala mbovu unaoandamwa na kashafa moja baada ya nyingine uko wazi sana wakuu.Umati wa watu wamelazimika kukimbia umbali wa takriban kilometa 5, kutoka Sahara pale mpaka maeneo ya Bwiru,

Kama ilivyo ada, maelefu ya watu wa Mwanza waliitikia wito kisha wakakubaliana na nondo zilizokuwa zikipigwa na makamanda tangu majira ya saa 9 mpaka saa 12, bila ulinzi wa polisi. CHADEMA wanajilinda wenyewe katika mikutano na maandamano. Wakiachiwa, wanaweza.

Makamanda, wakiongozwa na Katibu Mkuu, Dkt. Slaa, Godbless Lema, Mwita Mwikabe Waitara na wengine kibao, waliwakoga wananchi kwa hoja zinazozungumzia namna ya kutafakari mstakabali wa taifa.

Nondo za leo zilikuwa ni;
 
Mkuu kufuru ni nini? Halafu nashangaa sana wewe ndio kiongozi wa Chadema unanipa wasiwasi na ufahamu wako wa mambo ya kitaifa.

Unasema Jiji la Mwanza linazungukwa na madhari milima yenye utajiri wa madini.

Navyoijua Mwanza sijui ni mlima gani wenye madini kwenye hivi vilima vya Nyashana, Bugarika, Machemba, Bwiru, Kawekamo, Bungado, Nyegezi, kabuoro, Nyakato, Pasiansi, Ibanda.

Hayo ndio majina ya vilima vya Mwanza tufahamishe hayo madini yapo kwenye mlima gani.
 
Mkuu kufuru ni nini? Halafu nashangaa sana wewe ndio kiongozi wa Chadema unanipa wasiwasi na ufahamu wako wa mambo ya kitaifa.

Unasema Jiji la Mwanza linazungukwa na madhari milima yenye utajiri wa madini.

Navyoijua Mwanza sijui ni mlima gani wenye madini kwenye hivi vilima vya Nyashana, Bugarika, Machemba, Bwiru, Kawekamo, Bungado, Nyegezi, kabuoro, Nyakato, Pasiansi, Ibanda.

Hayo ndio majina ya vilima vya Mwanza tufahamishe hayo madini yapo kwenye mlima gani.

Duh! Na wewe umesoma na kuona unahili tu la kuchangia? Kazi ipo.
 
Duh! Na wewe umesoma na kuona unahili tu la kuchangia? Kazi ipo.

Na wewe unakubali tu kila kitu utakachaambiwa na Chadema mwenzako, kweli Jiji la Mwanza limezungukwa na milima ya madini?
 
Mkuu mbona post zingine unaziona kama moto?
Post zinazohusu mikutano ya Slaa upo active sana.
Big up.
Mkuu kufuru ni nini? Halafu nashangaa sana wewe ndio kiongozi wa Chadema unanipa wasiwasi na ufahamu wako wa mambo ya kitaifa.

Unasema Jiji la Mwanza linazungukwa na madhari milima yenye utajiri wa madini.

Navyoijua Mwanza sijui ni mlima gani wenye madini kwenye hivi vilima vya Nyashana, Bugarika, Machemba, Bwiru, Kawekamo, Bungado, Nyegezi, kabuoro, Nyakato, Pasiansi, Ibanda.

Hayo ndio majina ya vilima vya Mwanza tufahamishe hayo madini yapo kwenye mlima gani.
 
Mkuu kufuru ni nini? Halafu nashangaa sana wewe ndio kiongozi wa Chadema unanipa wasiwasi na ufahamu wako wa mambo ya kitaifa.

Unasema Jiji la Mwanza linazungukwa na madhari milima yenye utajiri wa madini.

Navyoijua Mwanza sijui ni mlima gani wenye madini kwenye hivi vilima vya Nyashana, Bugarika, Machemba, Bwiru, Kawekamo, Bungado, Nyegezi, kabuoro, Nyakato, Pasiansi, Ibanda.

Hayo ndio majina ya vilima vya Mwanza tufahamishe hayo madini yapo kwenye mlima gani.

Mkuu Ritz,
Ungejikita kujadili hoja ya Tumaini Makene na siyo kutaja majina ya vilima maana hiyo haikuwa hoja yake! Yani katika yote aliyozungumzia Makene wewe hili la milima ndilo uliloliona? Kama hoja za kina Lema na Slaa mtakuwa mnazijibu kwa style hii hakika subirini mkae mabenchi ya upinzani from 2015 onward..
 
Mkuu mbona post zingine unaziona kama moto?
Post zinazohusu mikutano ya Slaa upo active sana.
Big up.

Naweka kwanza ili suala sawa kupinga huu upotoshaji kuwa Jiji la Mwanza limezungukwa na vilima vya madini.
 
Naweka kwanza ili suala sawa kupinga huu upotoshaji kuwa Jiji la Mwanza limezungukwa na vilima vya madini.

Hakutaja aina ya madini yaliyomo kwenye vilima, bali ame-generalize hivyo kwa mantiki hiyo huwezi ku-rule out kwamba hivyo vilima havina madini, unless una ripoti ya utafiti wa vilima vyote vya Mwanza.
 
Mkuu kufuru ni nini? Halafu nashangaa sana wewe ndio kiongozi wa Chadema unanipa wasiwasi na ufahamu wako wa mambo ya kitaifa.

Unasema Jiji la Mwanza linazungukwa na madhari milima yenye utajiri wa madini.

Navyoijua Mwanza sijui ni mlima gani wenye madini kwenye hivi vilima vya Nyashana, Bugarika, Machemba, Bwiru, Kawekamo, Bungado, Nyegezi, kabuoro, Nyakato, Pasiansi, Ibanda.

Hayo ndio majina ya vilima vya Mwanza tufahamishe hayo madini yapo kwenye mlima gani.

Ritz naona umestudy ukaona kipengele hicho ndiyo unaweza kutokea.

Ikiwa hivyo najua umepata ujumbe.

Tumaini tupia picha basi.
 
Naweka kwanza ili suala sawa kupinga huu upotoshaji kuwa Jiji la Mwanza limezungukwa na vilima vya madini.
...kwani madini nini?...unataka kusema mawe yaliyo kwenye hiyo milima si madini?...madini si dhahabu,alumasi,tanzanet,shaba,uleniamu peke yake,ata hayo mawe uliyoona ktk hiyo milima ni madini pia...hiyo elimu yako ya kukalili inakupoteza...
 
Hakutaja aina ya madini yaliyomo kwenye vilima, bali ame-generalize hivyo kwa mantiki hiyo huwezi ku-rule out kwamba hivyo vilima havina madini, unless una ripoti ya utafiti wa vilima vyote vya Mwanza.

Saaaaafi mkuu napenda watu kama nyie!!ritz hili ndio ameona lakuchangia lakini mambo yanavyokwenda ya ufisadi unaofanywa na magamba kwa sasa aaahh kimyaaa!!!
 
Acha usenge na ujinga wewe unaonekana ni ccm hapa unajaribu kudisguise taarifa muhimu ya mdau! Kama unawashwa si utafute basha akukune nyuma!!! Usirudie kucoment usenge humu ndani!!!!!!1
mkuu kufuru ni nini? Halafu nashangaa sana wewe ndio kiongozi wa chadema unanipa wasiwasi na ufahamu wako wa mambo ya kitaifa.

Unasema jiji la mwanza linazungukwa na madhari milima yenye utajiri wa madini.

Navyoijua mwanza sijui ni mlima gani wenye madini kwenye hivi vilima vya nyashana, bugarika, machemba, bwiru, kawekamo, bungado, nyegezi, kabuoro, nyakato, pasiansi, ibanda.

Hayo ndio majina ya vilima vya mwanza tufahamishe hayo madini yapo kwenye mlima gani.
 
Lakini Makene unatuangusha bana, siku zote unajua JF tunataka vtu detailed na supported,,kwann usiweke/ambatanisha na picha? sio vzuri bana
 
Back
Top Bottom