Leo umebadilika kutetea demokrasia ya kujieleza ??Mtu kuandika hamu ya mwili wake nayo ni maneno machafu.. eeeeh au kuna mengine hamkutuhabarisha humu!!
Deo tunasubiri utoke uje utupe habari za huko wanapokupitisha.
Leo umebadilika kutetea demokrasia ya kujieleza ??
Ajabu sana..
we si ndo kila siku unaletaga USHABIKI MAANDAZI kisa ushibishe tumbo lako..
Pole Kisandu Kwa matatizo ya afya ya akili,Polisi Mpelekeni Mirembe akapate tiba.Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limemkamata Deogratius Kisandu ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Mkolani kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuandika matusi.
Mtuhumiwa huyo anadaiwa kutumia ukurasa wake wa Facebook kuandika matusi kwa takribani wiki nzima.
mkuu. typing error bhanaa ..kausha aisee..hahaaNAZI zmetoka wapi tena
Jamaa hafaninii ile mitusi ya mama, he looks very decent, au mtoto alikuwa anachezea simu yakeJeshi la Polisi Mkoani Mwanza limemkamata Deogratius Kisandu ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Mkolani kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuandika matusi.
Mtuhumiwa huyo anadaiwa kutumia ukurasa wake wa Facebook kuandika matusi kwa takribani wiki nzima.
Sio rahisi km unavyofikiriaSi anaweza kujitetea kirahis tu accnt yake imekua hacked....kosa lake labda awe hakutoa taarifa kituon
ha haaaa...........Thread yake itayofuata.."mimi deogratius nalimi kisandu sikuingiliwa kinyume na maumbile wakati niko selo.."
Wabakaji na walawiti ni vivutio vya chama chakavu kuungwa mkonoSiku hizi uchochezi ni kosa kubwa kuliko kubaka ...............!!
Halafu wote ni kutoka kanda pendwa!!!!!!!!!!Nchi ya Vichaa wala sio Viwanda.
Nabii Tito, Dr. Shika
Sasa naona kutakuwa na Dr Kig..... nae naona ameanza kuyumba
hahahahaha...hata raia n#1 nae hukohuko sio?...tehe teheeHalafu wote ni kutoka kanda pendwa!!!!!!!!!!
ndiomana hatuendeleiEeeeeh eti tumbo!!!
Wewe unashibisha nini kwa kuandika humu?
ndiomana hatuendelei
Weng wana akil kama zako zinazoishia kushibisha matumbo yao badala ya kusimamia hoja za msingi..
Your Hopeless in this World, if your stomack is everythng for you
Poor u ?!! =