figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Mvua zinazoendelea kunyesha zimeharibu miundombinu ya barabara ya Kangaye-Mecco wilayani Nyamagana pamoja na kukata mawasiliano ya Daraja kati ya Buhongwa Jijini Mwanza na Kijiji cha Mwasonge wilayani Misungwi na kusababisha wakazi wa maeneo hayo kuvuka kwa kutumia usafiri wa Mitumbwi.
Chanzo: ITV
Chanzo: ITV