Mwanza City: The Photo Gallery

View attachment 539866 a special thread for the rocky city.
let us share some photos, underconstruction projects as well as proposed projects in mwanza. NB do not take time to compare the city with other cities from tz. naanza na picha hizi then unaruhisiwa kutupia pia.....View attachment 533939 View attachment 533941 View attachment 534071 View attachment 534075 View attachment 534076 View attachment 534078
Nimeimisi mwanza sana.jiji la samaki,aka jiji la mawe,mwanza nitarudi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jitahidi bana ufike Rockcity japo mara moja katika maisha yako..
Mara ya kwanza kwenda rock nilipafagilia sana nikasema soko limekaa kimamtoni saivi

Nlivyofika mambele kumbe mwanza rock city mall hata robo hatujafika na bado tuna safari ndefu
Aise nilijiona mshamba kwa mawazo yangu ya kulinganisha rock city mall na mashop ya mamtoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2019-03-30.jpg
2019-03-22.jpg
 
Kulikuwa na mti hapo uliokuwa ukitumiwa na wakoloni kunyongea watu, sasa wakati wanajenga barabara enzi za mkapa walikata mizizi hivyo ukakauka, ulipokauka wakaukata matawi ukabakia kipisi ambacho kiligongwa na dereva mmoja kikatoka kabisa sasa jiji wameamua kuweka mti artificial mfano wa kipisi cha mwanzo.
Mkuu huo gari gani lingeweza kuugonga na kuuthuru ule mti?
 

Similar Discussions

59 Reactions
Reply
Back
Top Bottom