Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,756
- 71,129
Hivi sasa jiji la Mwanza maeneo ya Isamilo zilipo ofisi za Msimamizi wa uchaguzi ni milio ya mabomu na kelele za watu. CCM kwa nini wananganganiza ushidi kiasi cha kuhatarisha maisha ya watu? JK na wenzake wajiandae kama kutatokea vifo basi ni The Hague tu.