nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,029
- 2,895
CCM itaendelea kuongoza nchii hii. Sababu kubwa ni kwamba hatuna chama mbadala.
Wakome kuishangilia CCM na serikali yake sasa ndo wameiona. Walidanganywa na mpenda sofa Sasa wanakabiliana na hali halisi. Acha waisome nambaeeeeeeee......
CCM mbele kwa mbele.