Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,653
Ninaimani wakazi wa Mwanza wanajiuliza hili swali kila anayepita makongoro Road na kuona lile gorofa la Madaraka au Misheni lilivyobomolewa huku zile nyumba za CCM kuachwa ndani ya hifadhi ya barabara mpaka leo.
Ni ukweli usiopingika kuwa hizi nyumba za CCM zimekingiwa kifua. lakini ingawa zimeachwa, ni hatari sana kwa wakazi wa nyimba zile.
Ni ukweli usiopingika kuwa hizi nyumba za CCM zimekingiwa kifua. lakini ingawa zimeachwa, ni hatari sana kwa wakazi wa nyimba zile.