Mwanza: Barabara zote za mjini zinakaribia kuzibwa na wamachinga, Mamlaka zinaangalia tu

Msigazi Mkulu

JF-Expert Member
Dec 22, 2013
4,110
3,269
Husika na mada tajwa hapo juu, hali ni kusikitisha kabisa mitaa ya Mwanza mjini kati, machinga walianza kujenga pembeni kwa watembea kwa miguu na kwenye mabaraza sasa hivi wanajitanua hadi barabarani kabisa, barabara zimegeuzwa one way mwishoe wataziba kabisa.

Swali kwa TANROAD NA TARURA ni hili, mlijenga hizo barabara ili yawe masoko au ni kwa ajili ya matumizi ya usafiri? Mbona hakuna hatua mnazochokua?
 
Shida ni machinga hao yaani wanasubiri SAA za kazi ziishe wao ndo watandaze bidhaa zao barabarani na wakisikia kuna roli linapita la Manispaa kubeba vitu vyao wanapigiana simu ghafla eneo linakuwa jeupeee mpaka yule aliepeleka taarifa ofisi husika anaonekana shilawadu.
 
Ktk makosa aliyofanya JPM ni kuruhusu ili jambo kila kitu kina utaratibu hata Mungu ametuwekea utaratibu wa kukaa kwenye Dunia yake na katuwekea utaratibu wa kuondoka ktk Dunia yake na kuingia ktk Dunia yake

Sasa hawa jamaa wasipodhibitiwa mapema kuna siku tutawaona wapo mbele ya ikulu ya chamwino au magogoni wakichoma mishikaki ya sh 200 na ndizi na siku mkisema kuwaondoa itakuwa vurugu kubwa sana sidhani kama angetoa amri kila mkoa,wilaya,kijiji na kitongoji wawatafutie sehemu ya kufanya biashara ingeshindikana serikali inakosa mapato sana hawajui tu
 
Ktk makosa aliyofanya JPM ni kuruhusu ili jambo kila kitu kina utaratibu hata Mungu ametuwekea utaratibu wa kukaa kwenye Dunia yake na katuwekea utaratibu wa kuondoka ktk Dunia yake na kuingia ktk Dunia yake

Sasa hawa jamaa wasipodhibitiwa mapema kuna siku tutawaona wapo mbele ya ikulu ya chamwino au magogoni wakichoma misikaki ya sh 200 na ndizi na siku mkisema kuwaondoa itakuwa vurugu kubwa sana sidhani kama angetoa amri kila mkoa,wilaya,kijiji na kitongoji wawatafutie sehemu ya kufanya biashara ingeshindikana serikali inakosa mapato sana hawajui tu
Katengeza bomu ni suala la muda
 
Ktk makosa aliyofanya JPM ni kuruhusu ili jambo kila kitu kina utaratibu hata Mungu ametuwekea utaratibu wa kukaa kwenye Dunia yake na katuwekea utaratibu wa kuondoka ktk Dunia yake na kuingia ktk Dunia yake

Sasa hawa jamaa wasipodhibitiwa mapema kuna siku tutawaona wapo mbele ya ikulu ya chamwino au magogoni wakichoma misikaki ya sh 200 na ndizi na siku mkisema kuwaondoa itakuwa vurugu kubwa sana sidhani kama angetoa amri kila mkoa,wilaya,kijiji na kitongoji wawatafutie sehemu ya kufanya biashara ingeshindikana serikali inakosa mapato sana hawajui tu
'Sasa hawa jamaa wasipodhibitiwa mapema kuna siku tutawaona wapo mbele ya ikulu ya chamwino au magogoni'

Magu mwenyewe aliwaambia wamachinga akiwa Mwanza hata wakiona mbele ya ofisi ya Mkuu wa Mkoa ni eneo zuri kwao walitumie.
 
Back
Top Bottom