Mwanza: Baba amuua binti yake kutokana na kuchelewa kurudi nyumbani

Kama unazaa utaelewa wanao wakishakuwa wakubwa,kuna hii situation unajikuta unasomesha shule mtoto kwa gharama kubwa ukiamini unamuandalia maisha yake ya baadae ila unakuta hakuna anachokielewa zaidi Bodaboda mtaani wanamgombania na ukimkanya hakanyiki.

Sidhani kama mzazi nia yake ilikuwa amuuwe mwanae hapo ilikuwa ni zile adhabu za kawaida za kila siku ila ndo ilishapangwa litokee na limetokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naungana mkono na wewe, bahati mbaya polisi wetu huwa hawatumii common sense, hapo watamng'ang'ania huyo Mzee mpaka wamfunge maisha au wamnyonge, ila ukweli ni kwamba ni kweli hakuna mzazi ambaye aweza kudhamiria kumuua mwanae wa kuzaa, lakini pia polisi hawahawa huwaoni hawajisumbui lolote pale ambapo wafuasi wa ccm wanapoua mtu tena kwa kwa makusudi na hadharani, kisa anaeuawa anapokuwa ni mkosoaji wa serikali ya ccm basi polisi hujitoa ufahamu na kukaa kimya, (double standard hii).
 
Naungana mkono na wewe, bahati mbaya polisi wetu huwa hawatumii common sense, hapo watamng'ang'ania huyo Mzee mpaka wamfunge maisha au wamnyonge, ila ukweli ni kwamba ni kweli hakuna mzazi ambaye aweza kudhamiria kumuua mwanae wa kuzaa, lakini pia polisi hawahawa huwaoni hawajisumbui lolote pale ambapo wafuasi wa ccm wanapoua mtu tena kwa kwa makusudi na hadharani, kisa anaeuawa anapokuwa ni mkosoaji wa serikali ya ccm basi polisi hujitoa ufahamu na kukaa kimya, (double standard hii).
Kuua ni kuua. Kama hajui malezi angetafuta ushauri kwa waliomtangulia kulea mabinti.
 
Kama unazaa utaelewa wanao wakishakuwa wakubwa,kuna hii situation unajikuta unasomesha shule mtoto kwa gharama kubwa ukiamini unamuandalia maisha yake ya baadae ila unakuta hakuna anachokielewa zaidi Bodaboda mtaani wanamgombania na ukimkanya hakanyiki.

Sidhani kama mzazi nia yake ilikuwa amuuwe mwanae hapo ilikuwa ni zile adhabu za kawaida za kila siku ila ndo ilishapangwa litokee na limetokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakazia
 
Kama unazaa utaelewa wanao wakishakuwa wakubwa,kuna hii situation unajikuta unasomesha shule mtoto kwa gharama kubwa ukiamini unamuandalia maisha yake ya baadae ila unakuta hakuna anachokielewa zaidi Bodaboda mtaani wanamgombania na ukimkanya hakanyiki.

Sidhani kama mzazi nia yake ilikuwa amuuwe mwanae hapo ilikuwa ni zile adhabu za kawaida za kila siku ila ndo ilishapangwa litokee na limetokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu linda umri mimi sizai

Pia unatakiwa kumpiga mtu mpka kumuua sio rahsi mzee bonadamu hafi kiboyaboya so hapo ni dhahiri huyo baba alishusha kipondo heavy sana. sasa kwann alimpiga kipigo heavy???hapo kuna mengi yamejificha na ndo iman yang ikadondeka hapo,kwa kizazi cha sasahv mtoto akifika miaka 20 ajabanduliwa nadra saana.Ila kiwaida baba kumpiga mtoto wa kike aliyebarehe haiko sawa.
 
Kuua ni kuua. Kama hajui malezi angetafuta ushauri kwa waliomtangulia kulea mabinti.
Mkuu bora useme maana watu wanajitoa sana akili.....

Ulisikia wapi dawa ya mtoto wa kike aliyevinja ungo kuchelewa kurudi usiku ni kumpiga ulisikiwa wapi......

Hapo mzazi kama ushesema sana unakakuka tu mwana kulifind mwana kuliget
 
Mzee wa kuinuliwa kule butimba anamsubiri kwa hamu hamu huyo muuaji,maana anajua marinda mapya yaja
 
Sidhani kama ni busara kulaumu mzazi moja kwa moja wakuu.
Pengine yatupasa kwanza kujua historia ya familia na maisha waliyokuwa wakiishi kati ya mama/baba/watoto au mtoto.
Kwenye maisha kuna mambo mengi hasi ya kijamii na familia kwa ujumla.
Kuna muda mzazi akiangalia toto ameshalikanya kuhusu tabia za hovyo kwa muda mrefu lakini halisikii na ukiangalia undani mama anakuwa anamtetea bintiye.
Kuna wazazi wakiume kuendekeza pombe,wanawake,ugomvi ktk familia tena na watoto wakishuhudia, hii huchangia watoto kuleta dharau kwa baba haswa watoto wa kike.
Pia kwenye ngazi ya ukoo,familia na jamii kuna mambo ya kubebeshana zigo,unasukumiziwa shetani kwa nafsi yako kisha unatenda jambo baya halafu baada ya muda mpaka ww mwenyewe unaweza anza jiuliza umewezajee kufanya hilo, then unapotezwa mazimaa dah kaa chonjo sanaa na walimwengu na kaa ukijua dunia haina tatizo bali tatizo ni raia wenzetu tuu.
Nampa pole sana huyu ndugu aliyeua mtoto wake, Mungu ndiye anaehukumu.
 
Mkuu bora useme maana watu wanajitoa sana akili.....

Ulisikia wapi dawa ya mtoto wa kike aliyevinja ungo kuchelewa kurudi usiku ni kumpiga ulisikiwa wapi......

Hapo mzazi kama ushesema sana unakakuka tu mwana kulifind mwana kuliget
Acha ujinga wewe yani mtoto kavunja ungo ndio akikosa nisi muadhibu? Tena akitoka lazma aage anaenda wapi na mwisho wa kurudi ni sa12 jioni tofauti na hapo lazma ajieleze, mm ndio baba yake lazma afuate mashrt yangu akijiona kakuwa aondoke nyumbani kwangu.
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Baba mmoja anayefahamika kwa jina la Anthony Maningu, Mkazi wa Kayenze wilayani Ilemela mkoani Mwanza kwa tuhuma za kumuua kwa kumpiga na kitu kizito kichwani mwanaye aitwae Veronica Anthony, kwa madai ya kuchelewa kurudi nyumbani.

Akizungumza hii leo Septemba 10, 2020, Kamanda wa Polisi mkoani humo, Muliro Jumanne, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, na kusema Baba huyo yupo chini ya ulinzi na uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea, na mwili wa mtoto huyo umehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando.

Katika tukio lingine, Kamanda Muliro amesema katika Kata ya Shibula wilayani Ilemela, Emmanuel Joseph mwenye umri wa miaka 49, aliuawa kwa kupigwa na kitu kizito utosini na ndugu yake aitwae Mussa Gabriel, baada ya kumtuhumu kumuibia simu yake yenye thamani ya Shilingi elfu Arobaini.
Hiyo binti ana umri gani, wazazi wengine sijui wna matatizo gani jamani
 
Kama unazaa utaelewa wanao wakishakuwa wakubwa,kuna hii situation unajikuta unasomesha shule mtoto kwa gharama kubwa ukiamini unamuandalia maisha yake ya baadae ila unakuta hakuna anachokielewa zaidi Bodaboda mtaani wanamgombania na ukimkanya hakanyiki.

Sidhani kama mzazi nia yake ilikuwa amuuwe mwanae hapo ilikuwa ni zile adhabu za kawaida za kila siku ila ndo ilishapangwa litokee na limetokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mm nimekwelewa.
Kuna kabinti kanawasumbua sana wazazi wangu.,ni kahuni,kajeuri,wamebaki wanakaangalia tu.anachokitafuta atakipata,ndo siku atakayotulia
 
Mikutano ya CCM ni hatarishi kwa maisha ya watoto wa kike kwa sabahu ya kuvutiwa na fiesta ya huko! CCM sitisheni mambo ya mziki kwenye kampeni zenu kunusuru taifa la kesho.
Halafu ndio hao hao watoto wakipata mimba hawataki kuwaruhusu waendelee na masomo
 
Back
Top Bottom