lutamyo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2011
- 641
- 159
Na huu ndio ukweli wengi sana huolewa na wale ambao hawakuwapangilia kuwa nao tangu mwanzo
Maana akiangalia yule aliyemtaraji kamuonja alafu kasepa ngoma inakuja hapo sasa.[
Aisee miye sivumilii vitu hivi ukinipa za mbavu ujue miye simo maana mambo ya urafiki kwangu tangu mwanzo haikuwa dhamira so huyo mdogomdogo.
QUOTE=The Boss;4675664]wengi saana huwatokea
usually wanawake wengu huolewa na watu ambao
hawakuwa their first choice
wengu huolewa na 'hawa zombies'
sababu first choice nao walichapa wakasepa...
we all want what we dont have....[/QUOTE]
Maana akiangalia yule aliyemtaraji kamuonja alafu kasepa ngoma inakuja hapo sasa.[
Aisee miye sivumilii vitu hivi ukinipa za mbavu ujue miye simo maana mambo ya urafiki kwangu tangu mwanzo haikuwa dhamira so huyo mdogomdogo.
QUOTE=The Boss;4675664]wengi saana huwatokea
usually wanawake wengu huolewa na watu ambao
hawakuwa their first choice
wengu huolewa na 'hawa zombies'
sababu first choice nao walichapa wakasepa...
we all want what we dont have....[/QUOTE]