dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Huyu mama na wakina John Bendela, Bulihani nk tuliwakataa katika boxi la uchaguzi ila wamependwa zaidi na JK.
Huyu leo nimmsikia naibu mkuu wa mkoa wa Dsm anaumuhimu gani ndani ya taifa hili nakumbuka alikuwa wizara ya elimu akavurunda, jimboni kwake badala ya kupeleka maendeleo akapeleka kwenye mifugo yake akapigwa chini, nikashangaa akawa mkuu wa mkoa wa Pwani sijui imekuwaje na huko leo yuko Dsm anasogezwa tuuuuuuu.........
Kuna usiri gani hapa????? Na ananyodo kweli
Huyu leo nimmsikia naibu mkuu wa mkoa wa Dsm anaumuhimu gani ndani ya taifa hili nakumbuka alikuwa wizara ya elimu akavurunda, jimboni kwake badala ya kupeleka maendeleo akapeleka kwenye mifugo yake akapigwa chini, nikashangaa akawa mkuu wa mkoa wa Pwani sijui imekuwaje na huko leo yuko Dsm anasogezwa tuuuuuuu.........
Kuna usiri gani hapa????? Na ananyodo kweli