Hamna cheo cha naibu mkuu wa mkoa ktk serikal ya jmt.
Huyu mama na wakina John Bendela, Bulihani nk tuliwakataa katika boxi la uchaguzi ila wamependwa zaidi na JK.
Huyu leo nimmsikia naibu mkuu wa mkoa wa Dsm anaumuhimu gani ndani ya taifa hili nakumbuka alikuwa wizara ya elimu akavurunda, jimboni kwake badala ya kupeleka maendeleo akapeleka kwenye mifugo yake akapigwa chini, nikashangaa akawa mkuu wa mkoa wa Pwani sijui imekuwaje na huko leo yuko Dsm anasogezwa tuuuuuuu.........
Kuna usiri gani hapa????? Na ananyodo kweli
Anafanya nini Dar?
Ni "Naibu" Mkuu wa Mkoa wa Dar?
Hoja yangu ni kutokuwepo kwa Cheo cha Naibu Mkuu wa Mkoa. Angalia vizuri post yangu uliyoirejea.
Uko sawa ndugu, waelezee hawa vichwa nazi wanaopenda kukurupuka, naibu mkuu wa mkoa cheo hicho hakipo ila kaimu mkuu wa mkoa ni sawa na nadhani mecky sadik hayupo!Atakuwa ni Kaimu, sio naibu.
Huenda Mecky Sadick kasafiri.
Mara nyingi wakuu wa mikoa jirani hukaimu wenzao wasipokuwepo, au mara nyingne mkuu wa wilaya ndani ya mkoa huweza kukaimu.
Hakuna cheo cha naibu mkuu wa mkoa.
Hayo ya kusogezwa ikulu siyajui, ila sidhani km kukaimu Dar tu ndo kunamaanisha kusogezwa Ikulu!
Wivu ni jadi yenu wabongo!
Umekosa kashfa umebakia ANA NYODO!
wacha wivu huyu mama ni mchapa kazi kweli, ubunge alikosa kutokana na kushindwa kura za maoni, ambapo hakuwa tayari kuhonga,
ni katika mama na kiongozi shupavu mwenye maamuzi thabit fuatilia kazi zake , hayumbishwi na mtu, tuache wivu.
kukosa ubunge sio kigezo cha kutokuwa mweledi, ni kama mashindani tu alie kosa anaweza kuwa bora zaidi ya tulio wakataa, ushahidi upo, tumechagua sio kwa uwezo wa mtu bali kukuomoa mtu .
hakika mwantum ni mcapa kazi kiliko mwana mke yoyote ambaye amewahi kuwa waziri katika nchi hii...
Huyu mama ananipa shida kwa jambo moja tu - Kujichubua! Ni aibu kwa kiongozi wa umma kwa yeye kujichubua kiasi hicho. Alikuwa wa kawaida wakati ni mkuu wa shule ya Mwl J.K. Nyerere. Lakini nimemuona week iliyopita kwa kweli nimestuka sana.
Huyu mama na wakina John Bendela, Bulihani nk tuliwakataa katika boxi la uchaguzi ila wamependwa zaidi na JK.
Huyu leo nimmsikia naibu mkuu wa mkoa wa Dsm anaumuhimu gani ndani ya taifa hili nakumbuka alikuwa wizara ya elimu akavurunda, jimboni kwake badala ya kupeleka maendeleo akapeleka kwenye mifugo yake akapigwa chini, nikashangaa akawa mkuu wa mkoa wa Pwani sijui imekuwaje na huko leo yuko Dsm anasogezwa tuuuuuuu.........
Kuna usiri gani hapa????? Na ananyodo kweli
Taratibu Mkuu, hakuna cheo kinachoitwa Naibu Mkuu wa Mkoa nchi hii.
.......................Hivi leo matokeo ngapi ngapi?
kashindwa shule ya msingi ataweza dar jiji la visa tele?wacha wivu huyu mama ni mchapa kazi kweli, ubunge alikosa kutokana na kushindwa kura za maoni, ambapo hakuwa tayari kuhonga,
ni katika mama na kiongozi shupavu mwenye maamuzi thabit fuatilia kazi zake , hayumbishwi na mtu, tuache wivu.
kukosa ubunge sio kigezo cha kutokuwa mweledi, ni kama mashindani tu alie kosa anaweza kuwa bora zaidi ya tulio wakataa, ushahidi upo, tumechagua sio kwa uwezo wa mtu bali kukuomoa mtu .
hakika mwantum ni mcapa kazi kiliko mwana mke yoyote ambaye amewahi kuwa waziri katika nchi hii...
aligombea jimbo la Kilindi,akashindwa vibaya na Beatrice Shelukindo ktk kura za maoni CCM. alitumia kila mbinu ikiwa ni pamoja na kugawa zawadi(rushwa) kwa vikundi vya akina mama wa Kilindi. alilalamikiwa kutumia wadhifa wake wa unaibu waziri wa elimu ili achaguliwe! mwisho kama kawaida ya wana CCM,mwenye dau kubwa alishinda!wacha wivu huyu mama ni mchapa kazi kweli, ubunge alikosa kutokana na kushindwa kura za maoni, ambapo hakuwa tayari kuhonga,
ni katika mama na kiongozi shupavu mwenye maamuzi thabit fuatilia kazi zake , hayumbishwi na mtu, tuache wivu.
kukosa ubunge sio kigezo cha kutokuwa mweledi, ni kama mashindani tu alie kosa anaweza kuwa bora zaidi ya tulio wakataa, ushahidi upo, tumechagua sio kwa uwezo wa mtu bali kukuomoa mtu .
hakika mwantum ni mcapa kazi kiliko mwana mke yoyote ambaye amewahi kuwa waziri katika nchi hii...
sio naibu labda ni kaimu mkuu wa mkoa na huwa anakaimu wakati mkuu wa mkoa hayupo!!Sasa wewe umeamua kuwa mbishi. Hata mimi nimeona kwenye taarifa ya habari nikashangaa huyu maza vipi tena ndani ya Dar!
Ukimwona ngedere mjini basi ujue ni wa kufugwa, ana mwenyewe! Mwenye macho haambiwi tazama.Huyu mama na wakina John Bendela, Bulihani nk tuliwakataa katika boxi la uchaguzi ila wamependwa zaidi na JK.
Huyu leo nimmsikia naibu mkuu wa mkoa wa Dsm anaumuhimu gani ndani ya taifa hili nakumbuka alikuwa wizara ya elimu akavurunda, jimboni kwake badala ya kupeleka maendeleo akapeleka kwenye mifugo yake akapigwa chini, nikashangaa akawa mkuu wa mkoa wa Pwani sijui imekuwaje na huko leo yuko Dsm anasogezwa tuuuuuuu.........
Kuna usiri gani hapa????? Na ananyodo kweli
Huyu mama na wakina John Bendela, Bulihani nk tuliwakataa katika boxi la uchaguzi ila wamependwa zaidi na JK.
Huyu leo nimmsikia naibu mkuu wa mkoa wa Dsm anaumuhimu gani ndani ya taifa hili nakumbuka alikuwa wizara ya elimu akavurunda, jimboni kwake badala ya kupeleka maendeleo akapeleka kwenye mifugo yake akapigwa chini, nikashangaa akawa mkuu wa mkoa wa Pwani sijui imekuwaje na huko leo yuko Dsm anasogezwa tuuuuuuu.........
Kuna usiri gani hapa????? Na ananyodo kweli