Mwanifurahisha aana

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,555
8,552
Hivi inakuingia akilini??kuwa hapa JF utapata kimwana waliopata ni wale wenye bahati zao hapa yeyote mwenye account hapa siwakushobokea atakutoa kamasi!
 
Hivi inakuingia akilini??kuwa hapa JF utapata kimwana waliopata ni wale wenye bahati zao hapa yeyote mwenye account hapa siwakushobokea atakutoa kamasi!
Kwani na wewe si una account hapa..!!??? NAWE MTOE KAMASI
 
Hivi inakuingia akilini??kuwa hapa JF utapata kimwana waliopata ni wale wenye bahati zao hapa yeyote mwenye account hapa siwakushobokea atakutoa kamasi!
KakaKiiza, usitukatishe tamaa mkuu. Au labda umewekeza kwa kimwana mmojawapo wa JF unaogopa mapinduzi? Jaribu kuwa muwazi tafadhali!
 
Hivi inakuingia akilini??kuwa hapa JF utapata kimwana waliopata ni wale wenye bahati zao hapa yeyote mwenye account hapa siwakushobokea atakutoa kamasi!
sasa kaka kiiza utajuaje kama huna bahati lazima ujaribu bana
By the way vp yamekukuta?
 
KakaKiiza, usitukatishe tamaa mkuu. Au labda umewekeza kwa kimwana mmojawapo wa JF unaogopa mapinduzi? Jaribu kuwa muwazi tafadhali!
Mimi naapenda mapinduzi ila huwa naangalia thread hadi na cheka maana wengine nawajua!1Na nikitazama watukumi na tano nao wafahamu wote karibu sawa behaver zao kwahiyo najua watu wahumu tuafanana karibu kwa tabia naka hauna ukiingia humu lazima na wewe uwe kama wao!

sasa kaka kiiza utajuaje kama huna bahati lazima ujaribu bana
By the way vp yamekukuta?
Mimi hakuna yaliyo nikuta nipo na wala sithubutu!Ukijaribu utaambia nakaa Dubai na hamu inakishia!
 
Kakakiiza jamani.....njoo basi calabash badae tumalize hii thread...
 
Mie nimejiunga leo humu nilitaka kutafuta mchumba bona unanikatisha tamaa kakaliza, rafiki angu kaolewa juzjuz alkutana na mwanaume wake humuhumu, sema sio wale wa matangazo
 
namtafuta Rose1980 wangu jamani, mmenionea wapi?

wewe kakakiiza hebu nifahamishe tafadhali................
 
Kakakiiza jamani.....njoo basi calabash badae tumalize hii thread...
Jamani Preta wangu ndo maana jana nimekuota Hupo??Clabash baadae ila PM kwanza maelekezo yote utayakuta huko!Nakiwanja kipya!
Mie nimejiunga leo humu nilitaka kutafuta mchumba bona unanikatisha tamaa kakaliza, rafiki angu kaolewa juzjuz alkutana na mwanaume wake humuhumu, sema sio wale wa matangazo
Pole labda wewe ila kama ukija kwania yakutafuta kulelewa ukadhani hapa mipunga ipo imekula kwako wote wahumu maishemishe zetu zipo mkwepu,Azamu na vibanda vyakutoa photocopy!!

namtafuta Rose1980 wangu jamani, mmenionea wapi?Rose1980 Tena kanipita maali yupo resi ngoja!

wewe kakakiiza hebu nifahamishe tafadhali................
Kwalipi habari ndo hiyo Hapa ndoto inayeyuka kama mla unga unga ukiisha mwilini na ndoto zakuwa ulaya zinakata!

umeonaeeeeee! kila mshikaji anamwenyewe.
Kuna wazee la lookz wakiona fasta wewe uje na jasho lako kutoka kitabu sura ada imekugonga unakuja kubahatisha JF!Na sasa tutawapat wengi Bodi ya mikopo imewagaragaza wengi subiri!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom