Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Usiku wa Jumapili ya January 19 ,2020 majira ya saa 4 usiku , vibaka wapatao wanne wenye visu , mapanga walipora dukani kwa mfanyabiashara Milioni 16 na kutokomea kusikojulikana.
Ilivyokuwa:
Wezi waliingia nyumbani kwa mfanyabiashara huyo baada ya kugundua ameenda msikitini kuswali.
Walikaa sebuleni na kumsubiri.
Alivyoingia tu wakavimba nae. Kukuru kakara wakamkata sikio lake na hapo ndipo alipolazimika kuonyesha mzigo huo wa pesa.
Ifahamike kwamba duka na nyumba vimeungana.
Baada ya kupiga mayowe ndipo raia wema waliposogea na kuanza kumshambulia mwizi mmoja ambaye baadae alipoteza maisha.
Mwenye duka hana mlinzi, hana mke, hana mbwa na anachelewaga sana kufunga usiku.
January ni ngumu kinoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilivyokuwa:
Wezi waliingia nyumbani kwa mfanyabiashara huyo baada ya kugundua ameenda msikitini kuswali.
Walikaa sebuleni na kumsubiri.
Alivyoingia tu wakavimba nae. Kukuru kakara wakamkata sikio lake na hapo ndipo alipolazimika kuonyesha mzigo huo wa pesa.
Ifahamike kwamba duka na nyumba vimeungana.
Baada ya kupiga mayowe ndipo raia wema waliposogea na kuanza kumshambulia mwizi mmoja ambaye baadae alipoteza maisha.
Mwenye duka hana mlinzi, hana mke, hana mbwa na anachelewaga sana kufunga usiku.
January ni ngumu kinoma
Sent using Jamii Forums mobile app