Mwandosya tuliambiwa asiye na Wizara maalum, Mkuchika kazi maalum. Kazi zipi hizo?

Kapteni George Mkuchika ameteuliwa kuwa Waziri katika Ofisi ya Rais ambaye tumetangaziwa kuwa majukumu yake ni maalumu.

Hakuna tatizo lakini ningependa/tungependa watanzania hili likawekwa wazi ni shughuli gani hizo "maalum" atakazokuwa anazifanya huyo MH. Waziri wa kazi maalumu?

Tuna Haki ya kujua/kufahamu kwasababu tunamlipa posho/mshahara na marupurupu mengine kupitia kodi zetu sisi wananchi wa Tanzania.

Isije ikawa ni kupeana nafasi tu za kutafuna fedha zetu kwa minajili ya kusaidiana nyie watawala.

Nahitaji kufahamu majukumu ya Waziri Ofisi ya Rais kazi maalumu .
Kitu unapaswa kuelewa ni kwamba sio kila kitu katka serikali kinaeza wekwa bayana kwa umma ,serikali aipo hivyo ,kuna watu ni ghost workers wanafanya kazi kubwa sana kwa ajil ya taifa ila uwezi waona kkabsa mbele ya camera ,
Ila wayafanyayo ni makubwa mno , kwaiyo sio kila kitu ni lazima ukijue au kiwekwe bayana,.
Allah akikujalia kuja kuwa kiongozi mkubwa katka taasisi au hata miradi yako utakuja litambua hili

Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom