Mwandosya tuliambiwa asiye na Wizara maalum, Mkuchika kazi maalum. Kazi zipi hizo?

Ninakumbuka Jk alipounda baraza lake la kipindi cha pili cha uongozi wake, alimteua pro. Mark Mwandosya akatuambia kuwa amemteua kama waziri asiyekuwa na wizara maalum.
Sasa hivi tena ameteuliwa waziri Mkuchika ambaye tunaambiwa kuwa ni waziri kazi maalumu.
Kwa uelewa wangu mambo yote ya uongozi wa nchi hugawanywa chini ya wizara tofautitofauti.
Hapa ndio najiuliza huyu waziri jukumu lake analitekeleza kwa muktadha upi? Au ni namna tu ya kutengenezeana ulaji!
Serikali ina mipango mingi.....

Haijiendei tu kama kilabu cha MBEGE....

#KaziIendelee
 
Hata Mwandosya wakati anaumwa alipewa Waziri asiye na Wizara Maalum ili aendelee kupatiwa matibabu na Serikali.
 
Wanasiasa wanajitengenezea ulaji tu, Kama mambo ndiyo hayo ya kutafuna hela za walala Hoi wa nchi hii, bora tusiwe tunapiga kura.Wachache Sana wanafaid nchi hii.
 
Nafikiri lengo ni kumpa nafasi ya kuingia katika cabinet kama mshauri wa RAIS.Kutompaa Portfolio kunampa access ya kufanya kazi na RAIS moja kwa moja.Lakini zaidi ya yote nafikir hio wizara ya bila wizara huwa wanapewa Seniors katika Cabinet ambao RAIS anaona bado anaweza kuwatumia katika utumishi hasa katika ushauri na utekelezaji.Kwa kupewa uwaziri inamaana anakuwa na uwezo wa kuingia katika Baraza la mawaziri na kunyimwa wizara inaama anakuwa anawajibika kwa RAIS na anakuwa hana majukumu mengine zaidi ya kuwepo kwa ajili ya RAIS.

Fahamu kwamba Ni mawaziri tu wanaoingia kwenye CABINET
 
Mkuchika ni mzoefu kweli kweli kwenye how to run the government machinery. Baraza la kwanza la Magufuli, Mkuchika hakuwepo.... baadae naona Magufuli mwenyewe aliona pengo lake akamrudisha.
 
Watu husahau WIZARA MAALUM kwamba KINGUNGE NGOMBALE alikuwa yumo.
Enzi za Kingunge ali deal zaidi na usalama wa taifa. Ndio maana Kama mtakumbuka enzi zile kumjua mtu wa usalama ilikua Ni issue. Sio siku hizi mtu anashindwa kulipa bili ya pombe anajitangaza Yuko usalama au takukuru.
Yuko jamaa yangu wa karibu nilikuja kumjua kwamba Yuko usalama baada ya jamaa kustaafu.
 
Ukiwa Waziri usiye na Wizara maalum, kimsingi wewe ni msaidizi wa Raisi, kwa hiyo unaweza kupewa assignment inayohusu wizara yeyote ili ukasaidiane na waziri anaehusika. Na pia utakuwa unamwakilisha Raisi katika majukumu mbalimbali pamoja na ziara za ndani na nje, kufungua miradi nk. Kukiwa na ugeni kutoka nje wewe utahudhuria mikutano hiyo na Raisi karibu yote, wakati mawaziri ni wale tu wanaohusika na jambo litakalozunguziwa ndio wanahudhuria

Kwa hiyo ni uteuzi muhimu sana kwa Raisi na anapewa mtu ambaye ana akili ya kutambua na kuelewa mambo kwa haraka kuhusu siasa za ndani na mahusiano na nchi za nje. Unakuwa pia mshauri wa karibu sana wa Raisi katika mambo yanayohusu kila Wizara. Hata raisi akitaka kumtimua waziri mtu wa kwanza kuongea nae atakuwa wewe, kisha Waziri Mkuu ndio ataambiwa. Na una nguvu ya kumshauri Raisi kuwa waziri fulani katika wizara fulani hafai. Kumbuka kwa mfano, Prof. Mwandosya akiwa Waziri asiye na wizara maalum ndie hata alienda Rwanda kutatua mtifuano kati ya Kikwete na Kagame. Alifanya kazi nyingi sana kwa niaba ya Kikwete. Lakini mara nyingi hufanyi hizo kazi kwa uonekano. Unatakiwa kumfanya Raisi ang'are bila wewe kung'ara. Unakuwa busy sana, hivyo lazima uwe mchapakazi wa kweli.

Uwaziri usio na Wizara maalum kimsingi ni kama maandalizi ya kukufanya uwe raisi. Ni sawa na kuwa Raisi Msaidizi na Waziri Mkuu msaidizi asiyetambulika kikatiba, lakini somehow unamzidi hata Waziri Mkuu. Waziri asiye na wizara maalum anawajibika zaidi kwa raisi kuliko kwa Waziri Mkuu. Waziri Mkuu anaweza kuwa na majadiliano na Raisi juu ya jambo fulani, na Raisi akamwambia Waziri Mkuu utamwakilisha Raisi katika hayo majadiliano. Watu vihiyo walikuwa wanabeza uteuzi wa Prof. Mwandosya kwenye hii nafasi, niliwashangaa sana.

Kumbuka pia, ili kumdanganya Mwandosya kwamba atakuwa raisi baada yake, JK alimpa nafasi hii, kumbe ilikuwa ni chenga ya mwili. JK alitambua wazi alihitaji akili za mtu kama Mwandosya kuendesha nchi wakati anaitwa dhaifu nk. Kama uligundua, mwishoni JK alionekana kuwa na busara sana za uongozi - nyuma ya hilo ilikuwa ni akili za Prof. Mwandosya.

Hii ndio nafasi nasubiri mama Samia aniteue!
Nimeamini ule usemi wa kuwa hata saa mbovu kuna muda inasema ukweli, kongole sana mkuu
 
Ninakumbuka Jk alipounda baraza lake la kipindi cha pili cha uongozi wake, alimteua pro. Mark Mwandosya akatuambia kuwa amemteua kama waziri asiyekuwa na wizara maalum.

Sasa hivi tena ameteuliwa waziri Mkuchika ambaye tunaambiwa kuwa ni waziri kazi maalumu.

Kwa uelewa wangu mambo yote ya uongozi wa nchi hugawanywa chini ya wizara tofautitofauti.

Hapa ndio najiuliza huyu waziri jukumu lake analitekeleza kwa muktadha upi? Au ni namna tu ya kutengenezeana ulaji
Ngoja waje wenyewe
 
Meanwhile PM Majaliwa kasimamisha kazi watu pale Wizara ya fedha kisa wamejilipa pesa kwa maelezo ya "Malipo ya kazi maalum" pasipo kuitaja kazi husika.

Haya mambo ya kazi maalum au "asiye na wizara maalum" huwezi kuyakuta kwa wenye akili timamu.

#Shithole country.
 
Ninakumbuka Jk alipounda baraza lake la kipindi cha pili cha uongozi wake, alimteua pro. Mark Mwandosya akatuambia kuwa amemteua kama waziri asiyekuwa na wizara maalum.

Sasa hivi tena ameteuliwa waziri Mkuchika ambaye tunaambiwa kuwa ni waziri kazi maalumu.

Kwa uelewa wangu mambo yote ya uongozi wa nchi hugawanywa chini ya wizara tofautitofauti.

Hapa ndio najiuliza huyu waziri jukumu lake analitekeleza kwa muktadha upi? Au ni namna tu ya kutengenezeana ulaji
Nyerere ndio anapenda sana kuwa na position kama hizo.
 
Wanasema Kuna vizee bado ni asset Kwa taifa
Na Mkuchika ni mmoja wao. Ni TISS wa miaka mingi tangu jeshini mpaka sasa. Ashafanya missions kibao kwa mafanikio makubwa na anayajua mengi so hawawezi mtema. 2015 alipigwa chini kwa kura nyingi sana ila ndo akiyetangazwa mshindi.
 
JK alitambua wazi alihitaji akili za mtu kama Mwandosya kuendesha nchi wakati anaitwa dhaifu nk. Kama uligundua, mwishoni JK alionekana kuwa na busara sana za uongozi - nyuma ya hilo ilikuwa ni akili za Prof. Mwandosya.
Majibu ya maswali yako yako hapa
 
Ukiwa Waziri usiye na Wizara maalum, kimsingi wewe ni msaidizi wa Raisi, kwa hiyo unaweza kupewa assignment inayohusu wizara yeyote ili ukasaidiane na waziri anaehusika. Na pia utakuwa unamwakilisha Raisi katika majukumu mbalimbali pamoja na ziara za ndani na nje, kufungua miradi nk. Kukiwa na ugeni kutoka nje wewe utahudhuria mikutano hiyo na Raisi karibu yote, wakati mawaziri ni wale tu wanaohusika na jambo litakalozunguziwa ndio wanahudhuria

Kwa hiyo ni uteuzi muhimu sana kwa Raisi na anapewa mtu ambaye ana akili ya kutambua na kuelewa mambo kwa haraka kuhusu siasa za ndani na mahusiano na nchi za nje. Unakuwa pia mshauri wa karibu sana wa Raisi katika mambo yanayohusu kila Wizara. Hata raisi akitaka kumtimua waziri mtu wa kwanza kuongea nae atakuwa wewe, kisha Waziri Mkuu ndio ataambiwa. Na una nguvu ya kumshauri Raisi kuwa waziri fulani katika wizara fulani hafai. Kumbuka kwa mfano, Prof. Mwandosya akiwa Waziri asiye na wizara maalum ndie hata alienda Rwanda kutatua mtifuano kati ya Kikwete na Kagame. Alifanya kazi nyingi sana kwa niaba ya Kikwete. Lakini mara nyingi hufanyi hizo kazi kwa uonekano. Unatakiwa kumfanya Raisi ang'are bila wewe kung'ara. Unakuwa busy sana, hivyo lazima uwe mchapakazi wa kweli.

Uwaziri usio na Wizara maalum kimsingi ni kama maandalizi ya kukufanya uwe raisi. Ni sawa na kuwa Raisi Msaidizi na Waziri Mkuu msaidizi asiyetambulika kikatiba, lakini somehow unamzidi hata Waziri Mkuu. Waziri asiye na wizara maalum anawajibika zaidi kwa raisi kuliko kwa Waziri Mkuu. Waziri Mkuu anaweza kuwa na majadiliano na Raisi juu ya jambo fulani, na Raisi akamwambia Waziri Mkuu utamwakilisha Raisi katika hayo majadiliano. Watu vihiyo walikuwa wanabeza uteuzi wa Prof. Mwandosya kwenye hii nafasi, niliwashangaa sana.

Kumbuka pia, ili kumdanganya Mwandosya kwamba atakuwa raisi baada yake, JK alimpa nafasi hii, kumbe ilikuwa ni chenga ya mwili. JK alitambua wazi alihitaji akili za mtu kama Mwandosya kuendesha nchi wakati anaitwa dhaifu nk. Kama uligundua, mwishoni JK alionekana kuwa na busara sana za uongozi - nyuma ya hilo ilikuwa ni akili za Prof. Mwandosya.

Hii ndio nafasi nasubiri mama Samia aniteue!
Mkuu umemaliza kila kitu na kama kuna mtu bado atakuwa na swali basi akili yake itakuwa na mushkeli
 
Ninakumbuka Jk alipounda baraza lake la kipindi cha pili cha uongozi wake, alimteua pro. Mark Mwandosya akatuambia kuwa amemteua kama waziri asiyekuwa na wizara maalum.

Sasa hivi tena ameteuliwa waziri Mkuchika ambaye tunaambiwa kuwa ni waziri kazi maalumu.

Kwa uelewa wangu mambo yote ya uongozi wa nchi hugawanywa chini ya wizara tofautitofauti.

Hapa ndio najiuliza huyu waziri jukumu lake analitekeleza kwa muktadha upi? Au ni namna tu ya kutengenezeana ulaji
Tuliza wenge mteuaji anazijua hizo kazi maalumu....
 
Ukiwa Waziri usiye na Wizara maalum, kimsingi wewe ni msaidizi wa Raisi, kwa hiyo unaweza kupewa assignment inayohusu wizara yeyote ili ukasaidiane na waziri anaehusika. Na pia utakuwa unamwakilisha Raisi katika majukumu mbalimbali pamoja na ziara za ndani na nje, kufungua miradi nk. Kukiwa na ugeni kutoka nje wewe utahudhuria mikutano hiyo na Raisi karibu yote, wakati mawaziri ni wale tu wanaohusika na jambo litakalozunguziwa ndio wanahudhuria

Kwa hiyo ni uteuzi muhimu sana kwa Raisi na anapewa mtu ambaye ana akili ya kutambua na kuelewa mambo kwa haraka kuhusu siasa za ndani na mahusiano na nchi za nje. Unakuwa pia mshauri wa karibu sana wa Raisi katika mambo yanayohusu kila Wizara. Hata raisi akitaka kumtimua waziri mtu wa kwanza kuongea nae atakuwa wewe, kisha Waziri Mkuu ndio ataambiwa. Na una nguvu ya kumshauri Raisi kuwa waziri fulani katika wizara fulani hafai. Kumbuka kwa mfano, Prof. Mwandosya akiwa Waziri asiye na wizara maalum ndie hata alienda Rwanda kutatua mtifuano kati ya Kikwete na Kagame. Alifanya kazi nyingi sana kwa niaba ya Kikwete. Lakini mara nyingi hufanyi hizo kazi kwa uonekano. Unatakiwa kumfanya Raisi ang'are bila wewe kung'ara. Unakuwa busy sana, hivyo lazima uwe mchapakazi wa kweli.

Uwaziri usio na Wizara maalum kimsingi ni kama maandalizi ya kukufanya uwe raisi. Ni sawa na kuwa Raisi Msaidizi na Waziri Mkuu msaidizi asiyetambulika kikatiba, lakini somehow unamzidi hata Waziri Mkuu. Waziri asiye na wizara maalum anawajibika zaidi kwa raisi kuliko kwa Waziri Mkuu. Waziri Mkuu anaweza kuwa na majadiliano na Raisi juu ya jambo fulani, na Raisi akamwambia Waziri Mkuu utamwakilisha Raisi katika hayo majadiliano. Watu vihiyo walikuwa wanabeza uteuzi wa Prof. Mwandosya kwenye hii nafasi, niliwashangaa sana.

Kumbuka pia, ili kumdanganya Mwandosya kwamba atakuwa raisi baada yake, JK alimpa nafasi hii, kumbe ilikuwa ni chenga ya mwili. JK alitambua wazi alihitaji akili za mtu kama Mwandosya kuendesha nchi wakati anaitwa dhaifu nk. Kama uligundua, mwishoni JK alionekana kuwa na busara sana za uongozi - nyuma ya hilo ilikuwa ni akili za Prof. Mwandosya.

Hii ndio nafasi nasubiri mama Samia aniteue!
Nimekuelewa sanaa Chief!
 
Ninakumbuka Jk alipounda baraza lake la kipindi cha pili cha uongozi wake, alimteua pro. Mark Mwandosya akatuambia kuwa amemteua kama waziri asiyekuwa na wizara maalum.

Sasa hivi tena ameteuliwa waziri Mkuchika ambaye tunaambiwa kuwa ni waziri kazi maalumu.

Kwa uelewa wangu mambo yote ya uongozi wa nchi hugawanywa chini ya wizara tofautitofauti.

Hapa ndio najiuliza huyu waziri jukumu lake analitekeleza kwa muktadha upi? Au ni namna tu ya kutengenezeana ulaji
1. Kuroga
2. Kufitinisha
3. Kufundisha Chipukizi Umbea
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom