Mwandosya na Lipumba wafanyiwa upasuaji India

wafe tu hawana mchango wowote kwa taifa sana sana watapunguza population na kuongeza ajira maana nafasi zao zitakuwa replaced
 
Hivi mnajua hata spirit ya kusafishia sehemu ya mwili unapotaka kufanya upasuaji huwa inakosekana Muhimbili? Hii ni kutotaja dawa bora za usingizi na hata vifaa vyenyewe vya kufanyia huo upasuaji. Mabingwa wapo sana Muhimbili tena waliobobea, tatizo vitendea kazi ni duni mno, hao maprofesa hawawezi kufanya maajabu kwenye mazingira kama hayo. Kama hujui kuna mabingwa walobobea ulizia Dr Kinasha aliyekuwa MOI huko Botswana anafanya mambo ambayo hawaamini.

Wanasiasa wenu wanajua haya ndio maana wanakwenda nje kutibiwa, hawa mabingwa wengine wanasomea huko wanaoenda kutibiwa wao mpaka wanahitimu iweje waje huku washindwe? Narudia tena mabingwa wapo tena wenye uwezo wa hali ya juu, tatizo ni siasa za bongo, ambazo bora lionekane jengo linaloitwa dispensary hata kama halina hata panadol, ili wajisifu tuna dispensary kila kijiji. Lakini haina dawa wala vitendea kazi.

Huu ukosefu wa vitendea kazi sio tu unafanya utoaji huduma uwe duni lakini pia unaondoa morali ya watenda kazi. Tatizo ni vitendea kazi si wataalam. Mtoa maada hujawahi kuumwa ukafanyiwa maajabu na madaktari wa bongo ndio maana una guts za kubwabwaja, acheni kudharau vya kwenu, wapeni moyo wataalamu wenu na waombeni wanasiasa wawe serious na maisha ya watu.
 
Kama Lipumba yuko India kwa operesheniKama Malecela alikuwa UK kwa operesheniHayati Nyerere alitibiwa na kufia UKHayati Diria alitibiwa na kufia GermanyInamaana baada ya miaka 50 ya uhuru,tuna madokta/maprofesa feki hapo Muhimbili kama hata viongozi wetu hawawaamini.Sasa Muhimbili wanatibu watu weak,poor na ni walala hoi.Howa many botched operations ambazo hatujui?
wapo viongozi wachache ambao mimi nimewaona wakitibiwa pale taasisi ya mifupa (MOI). Dr slaa amekuwa akitibiwa pale mkono wake tangu alipoumia wakati kuna vigogo wengine ambao wanapata matatizo kama hayo ya dr wanakwenda nje. Sijui kwa lipumba lakini vigogo wa serikali pamoja na matibabu wankwenda nje ili wapate posho. Na posho yenyewe siyo mchezo. Ni bora ungozi ungebadilika harafu tuweke sheria hakuna kiongozi kwenda kutibiwa nje ili watengeneze hospitali za ndani
 
nashindwa kusema pole kwa mwandosyamaana yeye ni mmoja wa watanzania walioifikisha haposector ya afya na huduma zakemasikini wengi wamekufa na magonjwa madogo madogo hali waowakilipwa maposho makubwa kama waziri kila nakokwenda analipwa milioni 1.2kama posho, hata kama amekwenda kwenye semina ya wizara yake lazima walipwesasa hiyo pesa wanayokwapu tungeweza kuwa na hospitali za maana kwa ajili ya watanzaniawote, yeye sasa yuko india hapa nyumbani watu wanaendelea kufa hali wao ndio sababisho.augue kwa kadri mungu apendavyo
Prof. Mwandosya hajawahi kuwa waziri wa afya au unamchanganya na Prof. Mwakyusa?
 
Matibabu ya nje ya viongozi ni kielelezo cha kwanza cha kwanini hakuna maendeleo katika kuboresha sekta ya afya nchini. Pia ni kielelezo kwamba tangu walipo jipa jina "waheshimiwa" na kuliacha jina "ndugu" hawakuwa wala kujiona sawa na wale waliowapa dhamana ya kuongoza. Nahisi cheo si dhaman tena. Hivi kutakua na badiliko gani la kutegemea katika sekta ya afya iwapo wanaotengeneza miongozo "policies" hawatumii huduma hizo? Ni kama hili la shule za kata na serikali..hakuna hata kiongozi mmoja anayepeleka watoto wake kwenye shule hizi. Hiki wanachofanya viongozi wetu ni aibu kubwa kwa viongozi wa nchi zingine mfano Uingereza ambapo Waziri Mkuu ilibidi ajieleze kwanini watoto wake hawako kwenye shule za serikali(Public schools). Hawa wetu Hawawezi "kuapriciate" cha nyumbani hakika tuna tatizo la kimsingi. Viongozi wetu wana "kasumba' ya kupenda vya nje. Ilikua mambo ya aibu sana hapa kwetu siku za nyuma sasa ndio utaratibu.
 
Viongozi ni wamhimu sana kuliko mwananchi wa kawaida.Ndio maana hata gerezan kuna magereza yao ya VIP.Hata kura huwa tunawapigia na kuwaita WAHESHIMIWA
Mambo ya 2015 hayo. Wanaanzaga mapema. Nyerere alingolewa hivi hivi kwa kuwa angekuwa mwiba kwa wana mtandao. Wakamngoa Dr Omari ambaye he was likely to be our next president after BM. Sasa Prof Mwandosya is one of candidates waliofika mbali last time, he is threat to 2015. I hope he will win this battle. Tanzania would have been better with him than JK
 
wapo viongozi wachache ambao mimi nimewaona wakitibiwa pale taasisi ya mifupa (MOI). Dr slaa amekuwa akitibiwa pale mkono wake tangu alipoumia wakati kuna vigogo wengine ambao wanapata matatizo kama hayo ya dr wanakwenda nje. Sijui kwa lipumba lakini vigogo wa serikali pamoja na matibabu wankwenda nje ili wapate posho. Na posho yenyewe siyo mchezo. Ni bora ungozi ungebadilika harafu tuweke sheria hakuna kiongozi kwenda kutibiwa nje ili watengeneze hospitali za ndani
Wote hawa walitibiwa Nchini halafu wakawa referred nje, kwa ushauri wa madaktari wa tanzania...
 
wafe tu hawana mchango wowote kwa taifa sana sana watapunguza population na kuongeza ajira maana nafasi zao zitakuwa replaced
Heri wewe umeandika wafe Brutus(mod) hajakuona mimi niliandika RIP post yangu akaifuta nilimsamehe kwa vile aliendeshwa na mazoea.
 
- UK ilikuwa ni matibabu na US ni kwa watoto, jamani si hata mchwa huwa wanambeba kiongozi wao, I mean mengine ni fact of life wote hatuko sawa na hatukuzalwia sawa, na besides ni kila mahali duniani, au?

Willie @ NYC, USA.
Badala ya kutoa pole wewe umekuja kutetea matibabu ya Mzee Malechela LOL! jaribu kuwa muungwana.
 
Wote hawa walitibiwa Nchini halafu wakawa referred nje, kwa ushauri wa madaktari wa tanzania...
You are dead wrong to think that it is the referal from our specialists which send these "BIGSHOTS" abroad for their treatment. It is their stutus and no profesionals advice which takes them there and in most cases for "things" which could as well be treated locally.
 
Badala ya kutoa pole wewe umekuja kutetea matibabu ya Mzee Malechela LOL! jaribu kuwa muungwana.

- Viongozi wanatabiwa popote pale taifa linapoweza kuwatibu, niwatetee nisiwatetee haiwezi kubadilisha anything, King Abdullah wa Jordan anatibiwa Mayo Clinic US ni kwa sababu ndipo walipo wataalamu bingwa wa moyo duniani, baada ya wataalamu bingwa kushindwa huko kwingine ni wao wenyewe ndio wanaowarufaa kwenda kwenye mabingwa zaidi, it has nothing to do na maendeleo ya taifa au anything!

- Eti hoja yako ni nini kwamba taifa ligharamie wananchi wote wa Tanzania Millioni 45 kwenda kutibiwa kama viongozi? Hiyo ndio hoja yako mkuu au una nyingine?



Willie @ NYC, USA.
 
- Viongozi wanatabiwa popote pale taifa linapoweza kuwatibu, niwatetee nisiwatetee haiwezi kubadilisha anything, King Abdullah wa Jordan anatibiwa Mayo Clinic US ni kwa sababu ndipo walipo wataalamu bingwa wa moyo duniani, baada ya wataalamu bingwa kushindwa huko kwingine ni wao wenyewe ndio wanaowarufaa kwenda kwenye mabingwa zaidi, it has nothing to do na maendeleo ya taifa au anything!

- Eti hoja yako ni nini kwamba taifa ligharamie wananchi wote wa Tanzania Millioni 45 kwenda kutibiwa kama viongozi? Hiyo ndio hoja yako mkuu au una nyingine?



Willie @ NYC, USA.
Duh mkuu wangu ktk wote viongozi umeona King Abdullah wa Jordan ndiye wa kumtolea mfano?..
Tunakubali sana kwamba haki hata siku moja haiwezi kuwepo wananchi kutibiwa sawa na viongozi wao wala huo usawa unaoliliwa hauwezi kuwepo, lakini basi tengenezeni basi Hospital ambazo hata upasuaji wa figo unaweza kufanyika nyumbani mbona zamani hii misafara ya viongozi India haikuwa mikubwa kiasi hiki..Labda hilo swala la uti wa mgongo kidogo tunaweza kusema wataalam wetu walishindwa..


Pili, mshikaji nina hasira kali sana ndio maana hunioni kijiweni maanake nimepatwa na msiba jamaa yangu katutoka baada ya Umeme kukatika wakati akifanyiwa Operation - mjini Dar. Yaani hakuwa ktk hali yeyote ya hatari kiafya isipokuwa kilichomuua ni kukatika kwa umeme, hii kweli haki?
 
- Viongozi wanatabiwa popote pale taifa linapoweza kuwatibu, niwatetee nisiwatetee haiwezi kubadilisha anything, King Abdullah wa Jordan anatibiwa Mayo Clinic US ni kwa sababu ndipo walipo wataalamu bingwa wa moyo duniani, baada ya wataalamu bingwa kushindwa huko kwingine ni wao wenyewe ndio wanaowarufaa kwenda kwenye mabingwa zaidi, it has nothing to do na maendeleo ya taifa au anything!

- Eti hoja yako ni nini kwamba taifa ligharamie wananchi wote wa Tanzania Millioni 45 kwenda kutibiwa kama viongozi? Hiyo ndio hoja yako mkuu au una nyingine?



Willie @ NYC, USA.
You missed my point sioni ajabu viongozi kutibiwa nje hata kama wangehamia huko milele tanzania itakuwepo tatizo langu niwewe kukimbilia kutetea hilo kuliko kutoa pole kwa akina Mwandosya na Lipumba tuonyeshe wapi umesema pole kwenye thread hii, nakumbuka ulianzisha thread na kuwaomba wanaJF wamwombee apone haraka mzee Malechela kwanini wewe hutoi hata pole kwa wengine hiyo ndiyo hoja yangu.
 
Kwani Babu wa LOLIONDO alishindwa? Au hawana imani?! Si wanasemaga kuwa anatibu magonjwa sugu. Any way, BWANA awatie nguvu.
 
Duh mkuu wangu ktk wote viongozi umeona King Abdullah wa Jordan ndiye wa kumtolea mfano?..
Tunakubali sana kwamba haki hata siku moja haiwezi kuwepo wananchi kutibiwa sawa na viongozi wao wala huo usawa unaoliliwa hauwezi kuwepo, lakini basi tengenezeni basi Hospital ambazo hata upasuaji wa figo unaweza kufanyika nyumbani mbona zamani hii misafara ya viongozi India haikuwa mikubwa kiasi hiki..Labda hilo swala la uti wa mgongo kidogo tunaweza kusema wataalam wetu walishindwa..


Pili, mshikaji nina hasira kali sana ndio maana hunioni kijiweni maanake nimepatwa na msiba jamaa yangu katutoka baada ya Umeme kukatika wakati akifanyiwa Operation - mjini Dar. Yaani hakuwa ktk hali yeyote ya hatari kiafya isipokuwa kilichomuua ni kukatika kwa umeme, hii kweli haki?
Dah pole sana yaani imenigusa kama huyo ndugu yako namuona vile kweli inatia uchungu na hasira pia.
 
Duh mkuu wangu ktk wote viongozi umeona King Abdullah wa Jordan ndiye wa kumtolea mfano?..
Tunakubali sana kwamba haki hata siku moja haiwezi kuwepo wananchi kutibiwa sawa na viongozi wao wala huo usawa unaoliliwa hauwezi kuwepo, lakini basi tengenezeni basi Hospital ambazo hata upasuaji wa figo unaweza kufanyika nyumbani mbona zamani hii misafara ya viongozi India haikuwa mikubwa kiasi hiki..Labda hilo swala la uti wa mgongo kidogo tunaweza kusema wataalam wetu walishindwa..

- Bob bongo tuna Hospitali na wataalamu ambao wakishindwa ndio wanakurifaa kwenda kwenye mabingwa zaidi, which has nothing to do na kutengeneza anything, ndio maana nikakupa mfano wa Jordan maana yule kuel wkake anao wataalamu sana, lakini hata na yeye wakishindwa wanamrufaa kwenda kwa mabingwa zaidi, kwenye hili suala zima la viongozi kutibiwa nje sioni hoja ya msingi kwa sababu ninaamini kwamba wananchi wengi tu wanapona nyumbani na kuna wengine wanaopelekwa kwa gharama ya serikali pia!

- Ninachotetea ni a principle kwani hata serikali ikishikwa na Chadema ni wajibu wa serikali kuwatibu viongozi wa taifa popote pale inapobidi!


Willie @ NYC, USA.
 
You missed my point sioni ajabu viongozi kutibiwa nje hata kama wangehamia huko milele tanzania itakuwepo tatizo langu niwewe kukimbilia kutetea hilo kuliko kutoa pole kwa akina Mwandosya na Lipumba tuonyeshe wapi umesema pole kwenye thread hii, nakumbuka ulianzisha thread na kuwaomba wanaJF wamwombee apone haraka mzee Malechela kwanini wewe hutoi hata pole kwa wengine hiyo ndiyo hoja yangu.

- Nilianzisha thread ya kuwafahamisha wananchi kuhusu suala zima la Malecela, sikusema watu watoe pole kama wewe unavyonilazimisha kwa nguvu, nilikuwa ninajaribu kuweka msingi muhimu kwamba kwa nini viongozi wetu wanatibiwa nje ni kwa sababu wanakuwa wameambiwa na wataalamu wetu bingwa kwamba waende huko baada ya wao hapa bongo kushindwa! na ni zoezi linafanyika Dunia nzima!

Willie @ NYC, USA.
 
Back
Top Bottom