alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Wazee wetu na nyinyi muachage kujifanya wajuaji.
Mark James mwandoysa aliyepata kuwa Waziri wa mda mrefu wa awamu ya tatu na ya nne inasemekana kanyimwa kibali cha kwenda kuonana na Rais toka mwezi Juni.
Chanzo cha uhakika toka watu wake wa karibu vinatabanaisha bwana mkubwa inawezekana hataki hata kumsikia achilia mbali kuonana naye.'Toka mwezi wa sita anabembeleza aonane na bwana mkubwa lakini hajapatiwa jawabu hadi hivi leo'alisema mnyetishaji wetu.
Mytake;Mwandosya ulichagua kumpinga JPM sasa ya nini unabembeleza kwenda kujikomba na kupiga magoti ilhali wewe ni mbabe!?
Mark James mwandoysa aliyepata kuwa Waziri wa mda mrefu wa awamu ya tatu na ya nne inasemekana kanyimwa kibali cha kwenda kuonana na Rais toka mwezi Juni.
Chanzo cha uhakika toka watu wake wa karibu vinatabanaisha bwana mkubwa inawezekana hataki hata kumsikia achilia mbali kuonana naye.'Toka mwezi wa sita anabembeleza aonane na bwana mkubwa lakini hajapatiwa jawabu hadi hivi leo'alisema mnyetishaji wetu.
Mytake;Mwandosya ulichagua kumpinga JPM sasa ya nini unabembeleza kwenda kujikomba na kupiga magoti ilhali wewe ni mbabe!?