Mwandosya bado mgonjwa, kalazwa huko India; miezi miwili sasa

<br />
<br />
hapana... Hawezi kuwa nao. Huyu ni waziri wa mazingira, ma nylon yote anayo yeye, anatumia atakavyo.
Mi nahisi yule mchungaji mfufua misukule aliyesema ana uwezo wa kumfufua amina chifupa tumtafute mapema tumpooze

Watu Mnakejeli kweli! Mtu anaumwa mnamkejeli kweli Watanzania hatupendani kabisa,ndiyo maana tutaendelea kuibiwa na wageni maana sisi wenyewe hatupendani,ujue huyo ni Mbunge wa watu na watu wake wanampenda unaposema maneno kama hayo ya kejeli na dharau unadhani ndiyo unajenga? sasa unafurahia afe eeeh,wewe utapata faida gani? Umenikela kweli aisee!umefilisika mawazo kabisa
 
Watu Mnakejeli kweli! Mtu anaumwa mnamkejeli kweli Watanzania hatupendani kabisa,ndiyo maana tutaendelea kuibiwa na wageni maana sisi wenyewe hatupendani,ujue huyo ni Mbunge wa watu na watu wake wanampenda unaposema maneno kama hayo ya kejeli na dharau unadhani ndiyo unajenga? sasa unafurahia afe eeeh,wewe utapata faida gani? Umenikela kweli aisee!umefilisika mawazo kabisa

Kwani aliyekuambia maneno ya kejeli ni kwa mtu aliye na afya njema pekee nani? Maneno mazuri hayawezi kumponya mtu..Ni unafiki wa mawazo...!!
 
Hayo maclass unayoyataja hayana maana kuwa wengine wakatibiwe India na wengine Mwananyamala. Hao jamaa wanakwenda huko kwa vile ya hali mbaya ya Hospital zetu. Poor delivery kwenye public snd private sectors. No Wonder akina Jairo walitafuta mbinu mpya ya kupitisha bajeti za Wizara zao.

Imagine last month Rais wa Namibia aliumwa na alilazwa kwenye hospital za Namibia na wala hakusafirishwa kwenda RSA. Hivi sasa inasemekana Kaunda anaumwa na amelazwa Namibia. Sasa nchi kama Namibia ambayo haina hata medical school inauwezo huo inakuwaje nchi yetu ambayo ina medical school kama 5 inashindwa kutibu vigogo wake. Hapo utaona kuwa tatizo siyo watalam ila ni quality of service wameshindwa kuitengeneza kwao sasa wanaitafuta kwa wenzao.

Na huko Namibia huenda Madaktari bingwa ni Watanzania!!!!! teh teh teh teh
 
Jamani wana Jamii wenzangu kweli tumekosa Ubinadamu kabisaaaaa tunajua huyu mtu anaumwa na hata kama ni Kiongozi bado ni mtu kama sisi ana nafsi,roho na nyama na anahitaji upendo yeye na Familia yeke na wala si Kejeli na Vijembe kama vinavyoendelea kwenye Thread hii jamani!!!Kweli tumepoteza UTU kabisa na kukaa kugeuza kila jambo kwenye Siasa na Vijembe jamani?!!!This is not Fare kabisa Huu ni Ukatili na wala sio Ubindamu kabis,labda mtafurahi mkisia amekufa huyu Mwandosya wa watu!!<br />
<br />
<br />
Tuwe na Ubinadamu,hata kama anaenda kutibiwa wapi au ni nani bado ni Binadamu kama sisi na yeye na Familia yake wanahitaji Faraja kubwa wakati huu wanapo muuguza jamani...tuache tabia mbaya hiii... naomba tukome kukejeli na Kurusha Vijembe wakati wa Misiba au watu wanapokuwa wanumwa,huu ni UNYAMA na UKATILI kabisa na hakuna mwanadamu yoyote mwenye akili timamu anayeweza kufurahia mwenzake anapoteseka kwa Ugonjwa.Huku ni kufilisika mawazo.<br />
<br />
Tuipe hadhi jukwaa hili jamani,ni Foruma nzuri na isigeuzwe na watu wachache kuwa sehemu ya Udaku na Vijembe!<br />
<br />
Wachangiaji wa namna hiyo wafungiwe kabisa na Coordinator!sio watu hao ni wanyama wa Porini,ukatili gani hu?!!!!<br />
<br />
<br />
Wa
<br />
<br />
 
Kweli kabla sijajiunga na jamii forum nilifikiri ni ya watu makini kumbe ni afadhali usome magazeti ya udaku utapa kitu kuliko upupu unaondikwa humu.unashangilia mtu anaumwa tumekulia jamii ipi?inatisha au kuna watu wanaichafua hili jukwaa?
 
Mwenyenzi Mungu akurehemu upone mapema ili urudi nchini kushirikiana na Watanzania wenzako Professor Mwandosya..!!!
 
sina uzalendo wowote kwa hawa watawala wa tz, hivyo kwa yoyote yatakayowapata mi naona poa tu

Ngoja nihamie MMU, huku nahisi ban inaninyemelea, mijitu inajifanya inauchungu na nchi halafu inatumia makalio kufikiri brrrrrrrrrr
 
Hawa viongozi wetu wanashangaza sana, hivi wao sio watu kama sisi wa chini? Mbona Mungu habagui huyu nani na huyu nani? Kupelekwa India au Marekani hakusaidii , waelewe ya kuwa siku ikifika imefika, mbona wengine wakienda kutibiwa huwa hawarudi hai? Huko ni kuchezea kodi zetu bora wangeboresha huduma kwenye hospitali zetu na kuwezesha madaktari wa Tanzania kufikia level ya hao wanaowafuata.
Wanayosema ni viongozi tu wanayopelekwa kutibiwa India wapite pale wizarani waone orodha ya wagonjwa wanayokwenda nje kutibiwa.
 
All significant figures in this country they prefer to go India for treatment, still in question WHY India and not ELSE WHERE like Japan, China, Russia, UK and USA. Most of them who went for treatments they return while their body parcked in the coffirn. JF members would like to why?
India is the cheapest
 
dhambi ya atcl inamuua na kumuangamiza kama mnakumbuka lile gazeti ninalo mpaka leo???huyu ndie aliegawa hili shirika kwa southafrica wakampeleka mwanae kusoma chuo huko jnb mpaka leo ajajibu kilichotokea na hadi barua ya wazungu kuwajulisha chuoni ada italipwa na southafrican airways mwisho wa siku wale mbwa sa wanaiba doller wanaweka kwenye hold za ndege kwenye mabox ni huyu ndie jamaa aliesema ndani ya miezi mitatu serikali inarudi na majonzi mtaniambia kelele za watoto wa wafanyakazi wa atcl na wengine baba zao wamepata pressure sababu ya atcl leo mwana anakula kuku kule sa hana adabu kabisa huyu mzee
Get your act right before airing your views
 
Ngoja nihamie MMU, huku nahisi ban inaninyemelea, mijitu inajifanya inauchungu na nchi halafu inatumia makalio kufikiri brrrrrrrrrr
<br />
<br />
hiyo ni dalili ya kukata tamaa ambayo tz na hasa wewe hujafikia huko kiasi ya kuondolewa utu kama hao watawala,jenga usibomoe,its begins with u
 
JK should appoint someone to fill the void. I reckon January will fit this position.

JK can appoint anyone he fancies since his cabinet is and has ALWAYS been a burden to the national economy...........
 
Pole sana Prof.! Tunakuombea sana kwa Mwenyezi Mungu akuponye na kukurejeshea afya yako. Kwani ni Mungu tu anayeweza kufanya miujiza hiyo kuponya magonjwa sugu na hata kufufua wafu. Jamani tumuombee prof. he is suffering from leukemia. Maisha yake yapo mikononi mwa mwenyezi Mungu. Tunaogopa kupata dhambi though kama binadamu hatuwezi kuzuia hisia.....yasemekana tatizo lake chanzo ni mbio za urais 2015! Wenye akili wameelewa!
 
All significant figures in this country they prefer to go India for treatment, still in question WHY India and not ELSE WHERE like Japan, China, Russia, UK and USA. Most of them who went for treatments they return while their body parcked in the coffirn. JF members would like to why?

Da! kimombo bwana!
 
Back
Top Bottom