Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 612
Kuna habari kwamba Mwandishi wa Habari wa IPP wa PST, Nipashe na Guardian amekamatwa kwa uchochezi Zanzibar. na pia kuna habari kwamba waandishi wa TVT na RTD wamepata ajali Korogwe wakiwa njiani kwenda Moshi kumzika Salome Mbatia. Habari zaidi baadaye