Mwandishi William Ngazija wa ITV akamatwa na Polisi mkoani Tanga

#BreakingNews
Jeshi la Polisi Korogwe linamshikilia Mwandishi wa Habari wa Kituo cha Runinga @ITVTANZANIA William Ngazija kwa maelekezo ya Mkuu wa Wilaya hiyo ya Korogwe Bi. Basila Mwanukuzi.
 
Taarifa zinaeleza kwamba Mwandishi huyo anayeripotia ITV kutokea Mkoa wa Tanga , amekamatwa na Polisi wa Korogwe na kulundikwa Sero kwa Amri ya Mkuu wa Wilaya hiyo , Ambaye pia ni Mlimbwende wa Tanzania wa miaka iliyopita Mtukufu Basila Mwanukuzi .

Bado haijafahamika kosa lake

Chanzo : Kitenge TV
Halafu hawa watoto wanadhalilisha watu wazima na taaluma zao kisa vyeo vyao, ndio tatizo la kutoka kuwa mwendeshaji saluni na ulimbwende kwa miaka mingi na ghafla bin vuu kuwa DC sidhani hata kama amewahi kufanya kazi yoyote ambayo ana utaalamu nayo.
 
Clueless leaders deal with personalities.
Hivi ana bwana huyu ?
Kwanza u miss wake Kama mnakumbuka uligubikwa na contaversy eti kulikua na rushwa.
Correct me if I am wrong.
Alikuwa saluni yake pale kwao Victoria aliajiri mzaire mmoja hivi hajui hata muongozo wa kazi ukoje, sijui connection hii ya uDC aliipataje au ni Ummy?
 
Taarifa zinaeleza kwamba Mwandishi huyo anayeripotia ITV kutokea Mkoa wa Tanga , amekamatwa na Polisi wa Korogwe na kulundikwa Sero kwa Amri ya Mkuu wa Wilaya hiyo , Ambaye pia ni Mlimbwende wa Tanzania wa miaka iliyopita Mtukufu Basila Mwanukuzi .

Bado haijafahamika kosa lake

Chanzo : Kitenge TV

Mkuu, kale kadada kakwapi sikuizi? Ufosaro
 
Taarifa zinaeleza kwamba Mwandishi huyo anayeripotia ITV kutokea Mkoa wa Tanga , amekamatwa na Polisi wa Korogwe na kulundikwa Sero kwa Amri ya Mkuu wa Wilaya hiyo , Ambaye pia ni Mlimbwende wa Tanzania wa miaka iliyopita Mtukufu Basila Mwanukuzi .

Bado haijafahamika kosa lake

Chanzo : Kitenge TV
Mtukufu?
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom