Richard Robert
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 632
- 340
- Thread starter
- #21
Unaweza kusoma na kupita bila kuchangia upuuzi kama huu. Kuna ugonjwa nimeutaja? Hizi tafsiri za kijinga jinga kaa nazo huko.Wanajamii forum wengi wanaandika nyuzi za Tanzia ili kutisha watanzania. Je kama alikua na maradhi ya muda mrefu na alikua hasemi hapo tusemeje.