Mwambieni huyo P. Katunzi kama kweli yeye ni jasiri aandike mambo ya M7... Mbona wao wako na dikteta kwao na wanashindwa kumuandika kama wanavyoshadadia mambo ya nchi jirani??
Huyu Zoka ni wa kumrudisha Chitungwiza aende akatafute watoto wake dawa yake inachemka.
kaka sijakupata hapo