Elections 2010 Mwandishi wa Uganda asema Kikwete aliiba kura

The Observer - PIUS KATUNZI: Kikwete

Haya jamani, waandishi wa Tanzania mko wapi? Mnashindwa kuwa na ujasiri na kusema wazi kuwa Kikwete aliiba kura na ushindi wake ni batili mpaka msaidiwe na majirani zetu wa Uganda? Ni uoga, kukosa ujasiri au mmepewa chochote kitu mkae kimya? Sasa hivi waandishi wa Bongo wamesha sahau scandal kubwa ya wizi wa kura na badala yake wako bize kudakia mbio za uspika, waziri mkuu mpya, baraza la mawaziri, etc.

Bado tunao waandishi makini. Subiri Mwanahalisi kesho na Raia Mwema, you will be shocked!
 
The Observer - PIUS KATUNZI: Kikwete

Haya jamani, waandishi wa Tanzania mko wapi? Mnashindwa kuwa na ujasiri na kusema wazi kuwa Kikwete aliiba kura na ushindi wake ni batili mpaka msaidiwe na majirani zetu wa Uganda? Ni uoga, kukosa ujasiri au mmepewa chochote kitu mkae kimya? Sasa hivi waandishi wa Bongo wamesha sahau scandal kubwa ya wizi wa kura na badala yake wako bize kudakia mbio za uspika, waziri mkuu mpya, baraza la mawaziri, etc.

images
 
CCM ilitumia mabalozi wa nyumba kumi kupata taarifa za wapiga kura hasa wale ambao walikuwa na hisia za kupigia wapinzani, mabalozi hao walipewa assignment ya kuandaa database ya mtaa column km nne za kujaza, jina, uanachama na no ya simu, huo ndiyo mpango mzima ulipoanzia kuchakachua daftari la kupiga kura, waliorudi vituoni bila kupiga kura ni wengi sana japo walikuwa na vitambulisho vya mpiga kura. huu ndiyo ukweli mganda kasema kweli.
 
Mwambieni huyo P. Katunzi kama kweli yeye ni jasiri aandike mambo ya M7... Mbona wao wako na dikteta kwao na wanashindwa kumuandika kama wanavyoshadadia mambo ya nchi jirani??

Suala hapa si nani kaandikwa nani kaachwa,suala la msingi ni kwamba kura ziliibwa.Tuachane na hadithi za kale za kuondoa kibanzi kwenye jicho lako tuzungumze ukweli.
 
Kuna habari toka control room ya vodacom(confidential source) walikuwa wamenasa mawasiliano ya wakuu wa chama kikubwa tanzania wakisema jamani tumeshinda lakini kazi kubwa ni kubadili matokeo ili tupate wabunge wengi wa viti maalum na kuondoa aibu kwa rais mteule
kwa mujibu wa maongezi hayo inasemekana matokeo yalikuwa kama ifuatavyo

DR jK 48%
DR SLAA 42%
LIPUMBA 6%
WENGINE 2%
ZILIZOALIBIKA 2%

Kwa hiyo basi wana jf tunapojadili kwa misingi ya fununu hizi basi tufikiri uwezekano wa wizi wa kura ulikuwepo lakini mshindi wa urais ni bado ni jakaya lakini madhara yatakuwa katika heshima na idadi ya wabunge wa viti maalum. wana jf tupo hapo
 
Kikwete ni mwizi..period
Ni aibu waandishi wetu wamekuwa siku zote wakimung'unya maneno.
Heshima Mkuu Katunzi kwa kuweka wazi ukweli wa yaliyojiri.
 
rais ameshaapishwa na mwanasheria pia yupo kazini, unafikiri waandishi na vyombo vyao vya habari hawajipendi? wanatamani sana kuandika uchafu wa uchaguzi na madudu yaliyofanywa na ccm ila mkono kinywani baba. kumbukuka wakati wa kampeni gazeti la mwananchi walitaka kulifanyeje? kisa aliandiki habari za chama tawala vizuri kuhusu kampeni hii ndio tanzania demokrasia machoni na masikioni mwa wahisani wakigeuza kisogo weeee
 
Mwambieni huyo P. Katunzi kama kweli yeye ni jasiri aandike mambo ya M7... Mbona wao wako na dikteta kwao na wanashindwa kumuandika kama wanavyoshadadia mambo ya nchi jirani??

Mbona yule mkenya juzi aliwasifia hamkuongea, leo mmepata ukweli, embu tuandikie hata neno moja aliloandika uongo
 
Ndugu zangu ukweli ni mmoja tu lakini uongo upo wa aina nyingi. kama jambo limefanywa na kuna walioona wataendelea kuelezea ukweli waliouona. historia itakuja kumhukumu. Lakini waandishi wetu wanajua lakini wanaogopa kuandika ukweli kama vile Katunzi anavyoogopa kuandika ukweli kuhusu udikteta wa Mu7. Hapa inahitaji ujasiri wa kweli
 
Du jamaa hajauma neno hata moja!! Natamani hii makala imfikie JK na mropokaji Makamba!!
 
Jamanii....... sasa alikuwa anamsifia mkewe kwa lipi wakati mambo yenyewe ndo haya????
 
That is a clear message sent and delivered. Ingawa inamkera sana JK lakini ndio ukweli, wezi wakubwa hawa!!!!
 
naona hujui kabisa siasa za Uganda!
Uganda kuna free media ,kuna yale magazeti yanayosupport govt au opposition.

Have you read Uganda Monitor au Vision newspapers na kuona tofauti.
Uganda huwezi kupata gazeti limefungiwa au vipi.

You are real stupid and cunt.
huyu mwandishi ameandika good piece,with good English.
Waandishi wetu ni poor ,hakuna objective hata English yao ni mbaya sana.
 
Huyo mwandishi ni mchochezi ,awapendi kuona Tanzania tunaishi kwa amani,wanatuonea gere.
 
Thats the naked truth. Our Journalist don't have the cojoness to write about this. They're are all kissing CCM's asses.
 
Mwambieni huyo P. Katunzi kama kweli yeye ni jasiri aandike mambo ya M7... Mbona wao wako na dikteta kwao na wanashindwa kumuandika kama wanavyoshadadia mambo ya nchi jirani??

Mu7 ni dictator lakini afadhali kuwa na mtu kama mu7 kuliko Kikwete. Kikwete is lazy, arrogant, selfish na hajui anafanya nini. Mikataba mibovu ya madini kila kitu hovyo. Mu7 havumilii upuuzi kama huu. Afadhali na huko nje wameanza kumuandika.
 
Waandishi wetu Ben Mkapa aliwaita Makanjanja na alisema hakuna wa kuweza kumuhoji yeye, ikimaanisha wako chini ya kiwango.

Naye alikuwa na sera yake, hakuwaheshimu waandishi kama wadogo zake. Alikuwa dikteta kwa namna yake.
 
Back
Top Bottom