Pole nyingi kwa familia...............inasikitisha sana!!.
Ma-hospitali yetu mkweche yaani hayana kabisa protocol za emergency kama hizi za MI?? seems to me like they missed the golden hour!!. Poleni sana watani.
Well, RIP Mhando
Lakini i hope this was natural death not artificial, familia yake itakuwa na records kuhusu hali ya afya yake na kwenye siku kadhaa zijazo tutaendelea kujua undani wa issue yenyewe.
Lakini kama walivyosema wanaJ wengine, we are all in the same way.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.