Mwandishi wa mwananchi na mkewe wakamatwa kwa uchochezi

Jembe Jembe

JF-Expert Member
Jun 9, 2016
749
1,797
Waandishi wa habari jijini Arusha wamejikusanya kituo cha Polisi cha kati jijini hapa, muda huu kujua hatma ya Mwenzao Moses Mashala anayeandikia gazeti la Mwananchi na mkewe Lilian ambao wanashikiliwa na Polisi kwa kosa la kusambaza ujumbe ,ukimtuhumu mume mwenzake na Mashala kubaka msichana wa miaka 16,RPC aingilia kati
 
Waandishi wa habari jijini Arusha wamejikusanya kituo cha Polisi cha kati jijini hapa, muda huu kujua hatma ya Mwenzao Moses Mashala anayeandikia gazeti la Mwananchi na mkewe Lilian ambao wanashikiliwa na Polisi kwa kosa la kusambaza ujumbe ,ukimtuhumu mume mwenzake na Mashala kubaka msichana wa miaka 16,RPC aingilia kati
mume mwenzake kivipi jamani?
 
Waandishi wa habari jijini Arusha wamejikusanya kituo cha Polisi cha kati jijini hapa, muda huu kujua hatma ya Mwenzao Moses Mashala anayeandikia gazeti la Mwananchi na mkewe Lilian ambao wanashikiliwa na Polisi kwa kosa la kusambaza ujumbe ,ukimtuhumu mume mwenzake na Mashala kubaka msichana wa miaka 16,RPC aingilia kati
Jembe weka mpini ndo utalima vizuri. Habari yako haijaeleweka
 
Ni kwamba wakati anafuatilia hilo tukio akamshirikisha mkewe ambaye hakuwa na uvumilivu na kuamua kusambaza hiyo taarifa kwenye mitandao yakiwemo magroup,WhatsApp na feesbook, kabla mumewe hajautoa kwenye gazeti ndipo huyo mtuhumiwa ambaye ni mume mwenzake akatoa taarifa Polisi kuwa amedhalilishwa
 
Ni kwamba wakati anafuatilia hilo tukio akamshirikisha mkewe ambaye hakuwa na uvumilivu na kuamua kusambaza hiyo taarifa kwenye mitandao yakiwemo magroup,WhatsApp na feesbook, kabla mumewe hajautoa kwenye gazeti ndipo huyo mtuhumiwa ambaye ni mume mwenzake akatoa taarifa Polisi kuwa amedhalilishwa
Mume mwenzake na nani? na Lilian au Moses? Hujaeleweka wewe!!!!
 
Ni kwamba wakati anafuatilia hilo tukio akamshirikisha mkewe ambaye hakuwa na uvumilivu na kuamua kusambaza hiyo taarifa kwenye mitandao yakiwemo magroup,WhatsApp na feesbook, kabla mumewe hajautoa kwenye gazeti ndipo huyo mtuhumiwa ambaye ni mume mwenzake akatoa taarifa Polisi kuwa amedhalilishwa
Bado hapo kwenye mume mwenzake sijapaelewa kabisaaaa!
 
Ni kwamba wakati anafuatilia hilo tukio akamshirikisha mkewe ambaye hakuwa na uvumilivu na kuamua kusambaza hiyo taarifa kwenye mitandao yakiwemo magroup,WhatsApp na feesbook, kabla mumewe hajautoa kwenye gazeti ndipo huyo mtuhumiwa ambaye ni mume mwenzake akatoa taarifa Polisi kuwa amedhalilishwa
Mume mwenzake kivipi?
 
Wanawake sie kwa kupenda kuwa wa kwanza kutoa breaking news(habari za kupasuka)zinaponza watu wetu wa karibu. Huyo mke si angekaa kimya ona sasa amekiweka kibarua cha mumewe kikaangoni. Na mume angefatilia kimya kimya.
 
Back
Top Bottom