Mwandishi wa Mwananchi Elias Msuya aitwa Polisi kuhojiwa kwa makala "Polisi na Hofu ya Watawala"

Kansigo

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
2,670
2,156
mwandishi-jpg.366236

Mhariri mtendaji wa gazeti la Mwananchi, Frank Sanga na mwandishi wake, Elias Msuya wameitwa na polisi kuhojiwa kuhusu makala iliyochapishwa na gazeti hilo kuhusu utendaji wa jeshi hilo.

Wakati Msuya alipigiwa simu jana na kuhojiwa leo asubuhi kuhusu makala aliyoandika, Sanga ameitwa leo na tayari ameondoka ofisini kwake kwenda Kituo Kikuu cha Polisi kuitikia wito huo.

Makala hiyo ya uchambuzi yenye kichwa cha habari “Polisi na Hofu ya Watawala Kuondoka Madarakani”, ilichapishwa na gazeti hilo jana.

Chanzo: Mwananchi
 
Kwani wamekosea kutoa maoni yao au hawakuona jinsi walivyojichanganya?
 
mwandishi.jpg


Mhariri mtendaji wa gazeti la Mwananchi, Frank Sanga na mwandishi wake, Elias Msuya wameitwa na polisi kuhojiwa kuhusu makala iliyochapishwa na gazeti hilo kuhusu utendaji wa jeshi hilo.

Wakati Msuya alipigiwa simu jana na kuhojiwa leo asubuhi kuhusu makala aliyoandika, Sanga ameitwa leo na tayari ameondoka ofisini kwake kwenda Kituo Kikuu cha Polisi kuitikia wito huo.

Makala hiyo ya uchambuzi yenye kichwa cha habari “Polisi na Hofu ya Watawala Kuondoka Madarakani”, ilichapishwa na gazeti hilo jana.

Chanzo: Mwananchi
 
Hatutaki breaking news kwa ufupi weka full taarifa mkuu, muige mzee wa ITV retired R. Masako ndio nitakuelewa vizuri
 
View attachment 366236

Mhariri mtendaji wa gazeti la Mwananchi, Frank Sanga na mwandishi wake, Elias Msuya wameitwa na polisi kuhojiwa kuhusu makala iliyochapishwa na gazeti hilo kuhusu utendaji wa jeshi hilo.

Wakati Msuya alipigiwa simu jana na kuhojiwa leo asubuhi kuhusu makala aliyoandika, Sanga ameitwa leo na tayari ameondoka ofisini kwake kwenda Kituo Kikuu cha Polisi kuitikia wito huo.

Makala hiyo ya uchambuzi yenye kichwa cha habari “Polisi na Hofu ya Watawala Kuondoka Madarakani”, ilichapishwa na gazeti hilo jana.

Chanzo: Mwananchi
Awamu hii si ruhusa kukosoa/kutoa maoni yako hasi dhidi ya watawala. Mnatakiwa kuimba mapambio tu kwa watawala ili tusalimike.
Au kila kitu hewala mzee,ndio mzee....
 
Ukweli unauma sana.Serikali baada ya MADAWATI itayarishe na kujenga magereza,maana kwa mwendo huu nusu ya watanzania watmalizikia huko.

Baadhi yetu hatukubaliani na wewe...kauli yako hapa ni ya uchochezi...ni aina ya watu ambao mnaleta hoja halafu yakitokea mnaingia mitini...ni uongo kusema nusu ya watanzania watamalizikia kwenye magereza, hii ni kauli ya uchochezi na isiyo na ukweli wowote...umekuwa 'alarmist' kwa issues ambazo ni za kawaida...sasa hivi naanza kuisoma makala hiyo, ili name nione ni kwa vipi imefanya hao Ndugu zetu waitwe na polisi, lakini ni 'uongo' kuanza kubashiri kuwa nusu ya watanzania wataishia magerezani..
 
Baadhi yetu hatukubaliani na wewe...kauli yako hapa ni ya uchochezi...ni aina ya watu ambao mnaleta hoja halafu yakitokea mnaingia mitini...ni uongo kusema nusu ya watanzania watamalizikia kwenye magereza, hii ni kauli ya uchochezi na isiyo na ukweli wowote...umekuwa 'alarmist' kwa issues ambazo ni za kawaida...sasa hivi naanza kuisoma makala hiyo, ili name nione ni kwa vipi imefanya hao Ndugu zetu waitwe na polisi, lakini ni 'uongo' kuanza kubashiri kuwa nusu ya watanzania wataishia magerezani..

Duh!!!!!!!!!!!!!Kila kitu ni uchochezi,sasa hapo nimechochea nini??Hivi Babati wamewekwa ndani vijana wangapi jana almost 60,na hawa wa upinzani wakivaa Tshirt nao ati Mwalimu Nyerere Demokrasia inasiginwa wamefunguliwa mashtaka unadhani wangapi watashtakiwa??

Tumia akili yako sijachochea ni mawazo yangu.Na sababu ya UBAGUZI uliokithiri,mnadhani kila kitu ni uchochezi,halafu mnayapigia kelele ya USA wakati ya kwenu ni yale yale,kasoro nio rangi tu,siye huku shida ni ITIKADI tu.
 
Back
Top Bottom