wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Kumbe hiki kituo ni cha Tz. Nilijua ni kutoka burundi/rwanda?!
... said:Mmeshamwamini polisi sio?
Radio ipo ngara. Yeye anaiwakilisha mkoani Tabora
Nadhani hukusoma habari vizuri. Huyu ni mwandishi wa Kwizera Fm ila yupo kituo cha Tabora, Kuna vituo vingi vya Radio Kwizera kingine kipo Shinyanga, Bukoba, Kigoma na Geita.Hii habari nzima ni ya kupika!
Ngara tangu lini ikawa mkoa wa Tabora?
Tangu lini radio kwezira akawa mkoani Tabora?
Tangu lini maeneo ya Ipuli Tabora yakawa ni msitu?
Kamanda gani wa polisi asiye na weledi kiasi hicho kuweza ku conlude tukio ambavyo lazima linatakiwa liwe anavyotaka yeye?
Yaani mharifu wa tukio fulani lazima afanye a,b,c! Kweli hayo?
Kwa mfano mwizi kuvunja nyumba kuingia na kuchukua bahasha yenye nyaraka na kuacha kuchukua pesa, utahoji kwanini mwizi hakuchukua pesa, kweli!
N
Waandishi tujitahidi sana kuripoti mambo ya kweli.
Hata kama tukio hilo limetokea kweli huko Ngara, lakini mwandishi kuhusianisha Ngara na Tabora ni kuonesha umamuma wa kiandishi uliopitiliza kiwango cha Bomberdier Q-400!
Ngara iko tabora?????????
kuna mtu alisema
Huwezi tekwa afu uachiwe
Mkuu ulilosema kuhusu radio, waweza kuwa sahihi, embu rudia kusoma thread nzima uoanishe na nilichokisema.Nadhani hukusoma habari vizuri. Huyu ni mwandishi wa Kwizera Fm ila yupo kituo cha Tabora, Kuna vituo vingi vya Radio Kwizera kingine kipo Shinyanga, Bukoba, Kigoma na Geita.
Huyu wa Kwizera siwezi sikitika alishirikiana Sana na Kagame kumtukana Kikwete, Kagame aliweza sana kutuchafua, sisi tunaojua Kinyarwanda Tunaelewa,
Tulidharauliwa mno
Britannica
Nasikia alienda kulala kwa mchepuko,kimbembe ilikuwa nikurudi home asubuhi atamwambia nini mamawatoto akamua kujiongeza.
Kwa ulivyokalilishwaMmmmm!! god tena?!!! Au ulimanisha GOD?? kwani ni maneno yenye maana tofauti!!!
Mkuu hapa sio fb!! Na inaonekana kumbe kweli hujui tofauti iliyopo kati ya God, na gods daaaa!! Nilidhania labda ni typing error tu!! Pole mkuu, sasa badala ya kutoa povu ulitakiwa ushukuru kuwa umejua!!Kwa ulivyokalilishwa
Radio Kwizera ipo Ngara na aliyetekwa na kutupwa msituni ni reporter wa hiyo radio wa Tabora!Nadhani hukusoma habari vizuri. Huyu ni mwandishi wa Kwizera Fm ila yupo kituo cha Tabora, Kuna vituo vingi vya Radio Kwizera kingine kipo Shinyanga, Bukoba, Kigoma na Geita.
Au alikuwa anaandika habari za madhaifu ya awamu ya tano?
Hata kama umechukua mke wa mtu. Hakuna sheria inayomhurusu mtu kuteka hata kama umemchukulia mke wa mtu. Kingine kusema umetekwa halafu haujatekwa nalo ni kosa lipo katika kitengo cha Fraud. Kwahiyo hata mimi ukinikosea naruhusiwa kukuteka?