lifeofmshaba
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 867
- 219
huyo sio mmarekani bana
TEMBI kama kweli ni mmarekani mngemsikia balozi kaisha toa tamko
wamarekani wa wabaya kwa raia wa na media ya marekani kama twitter ,fb na nyinginezo ziko well protected, basi waseme anafanya kazi media gani
watu tu twitee hiyo kitu
hayo maigizo tu ya kikwete
polisi wamejuaje ni mwandishi wa habari bila kujua anafanya shirika gani? haya uganda anawakirisha shirika gani?
jina lake TEMBI duh hao ni wenzetu miafrika anauraia wa marekani wamempa dili hapo kutupumbaza.
TEMBI kama kweli ni mmarekani mngemsikia balozi kaisha toa tamko
wamarekani wa wabaya kwa raia wa na media ya marekani kama twitter ,fb na nyinginezo ziko well protected, basi waseme anafanya kazi media gani
watu tu twitee hiyo kitu
hayo maigizo tu ya kikwete
polisi wamejuaje ni mwandishi wa habari bila kujua anafanya shirika gani? haya uganda anawakirisha shirika gani?
jina lake TEMBI duh hao ni wenzetu miafrika anauraia wa marekani wamempa dili hapo kutupumbaza.