Mwandishi wa Habari Gordon Kalulunga adaiwa kusakwa na Jeshi la Polisi, aishi mafichoni

DED amechaguliwa na kiongozi wa CCM na CCM ndicho chama kinachounda serikali.

Hii tabia ya kutekana inajulikana wazi inafanywa kwa maslahi ya CCM, hivyo usipoteze muda wako kuitenga CCM, viongozi wake, na utekaji, utachekwa.
DED hutangaza matokeo akisimamiwa na Polisi.

DED anateuliwa na CCM.

Polisi anawajibika CCM.

Mwenezi was CCM alimwagiza IGP ashugulike na vijana wake.

Hiyo chain ya uongozi na mipaka ya majukumu ndio siri ya baadhi ya watumishi kuvujisha siri.Kila mtu ameota pembe.
 
Umeongea vizuri sana kiuzalendo na kwa weeledi. Cha kujiuliza je mamlaka huzingatia pia ukkasi hususani tuhuma mfano kuyabaini yanayoandikwa na huyu Kalulunga ili wanaopaswa kuwajibishwa wachunguzwe, na Takukuru utendaji wa juu ya uchunguzi ni chombo kuingia na kuchunguza ofisini zozote au hadi woambwe au waagizwe?

Kama takukuru utendaji wao nibwa kutumwa na kuamrishwa na hawana autonomous ya hata kutumia fununu tu kufuatilia ndio basi ama ishakuwa basi.

Ukiwa mwandishi wa habari hasa investigative journalism ni kuvaa dumu la petroli na kiberiti unacho mfukoni.

Hii ni hoja inajadilika. Lakini siyo kosa kafanya Mtendaji wa Kata anatajwa Rais, CCM na Serikali kwa ujumla! Nchi kubwa hii. Yaani kiongozi wa juu ajue kila kinachoendelea ktk nchi yote? Why hata hatuanzii kwa MaDc na Ma RC, kama wanajua?

Halafu sasa bingwa Kalulunga kwanini kakimbia kisa kaona polisi...na silaha? Si labda wako doria zao za za usalama? Yaani polisi wanaweza muwinda raia mmoja tena mwandishi kwa silaha kweli? Itakuwa mchecheto tu...siamini.🤣🤣🤣
 
Mwandishi wa Habari mkongwe Gordon Kalulunga anadai kusakwa na Jeshi la Polisi kila Kona ya jiji la Mbeya.

Kwa maelezo yake Kalulunga anasema tarehe 6 mwezi huu saa sita mchana alipigiwa simu na Msaidizi wa OCCID wilaya ya kipolisi Mbalizi Christopher Makawia na kumwambia, "tukutane pale Benki ya NMB Mwakapangala jijini Mbeya kwa mazungumzo".

Kalulunga anadai alipofika alikuta gari la Polisi na maaskari wenye silaha za moto akapitiliza kuwapotezea.

Anadai, "aliendelea kunipigia lakini sikupokea kwa nini aniite maeneo yale na si kituoni".

Kalulunga anayemiliki blogu maarufu Mbeya ya Sauti ya Nyikani amekuwa mkosoaji wa matumizi ya Fedha za umma zinazoletwa mkoani humo.

"Nimepata taarifa kuwa ni DED ameagiza nikamatwe kueleza wapi ninatoa Siri za Serikali na kuandika mtandaoni".

Kalulunga ametoweka nyumbani kwake na ameeleza anaishi mafichoni kuhofia mazingira hayo.

My take: Haya mambo ya Polisi au Watumishi kutishia au kujenga uadui na wanahabari yaliachwa na kuondoka na awamu ya 5.
Duh! Kalulunga mwoga sana!
 
Hii ni hoja inajadilika. Lakini siyo kosa kafanya Mtendaji wa Kata anatajwa Rais, CCM na Serikali kwa ujumla! Nchi kubwa hii. Yaani kiongozi wa juu ajue kila kinachoendelea ktk nchi yote? Why hata hatuanzii kwa MaDc na Ma RC, kama wanajua?

Halafu sasa bingwa Kalulunga kwanini kakimbia kisa kaona polisi...na silaha? Si labda wako doria zao za za usalama? Yaani polisi wanaweza muwinda raia mmoja tena mwandishi kwa silaha kweli? Itakuwa mchecheto tu...siamini.🤣🤣🤣
Unajua kwa nini kigezo cha upolisi ni ufaulu mbovu? Police wanaishi kwa laana kila uchao,
 
DED hutangaza matokeo akisimamiwa na Polisi.

DED anateuliwa na CCM.

Polisi anawajibika CCM.

Mwenezi was CCM alimwagiza IGP ashugulike na vijana wake.

Hiyo chain ya uongozi na mipaka ya majukumu ndio siri ya baadhi ya watumishi kuvujisha siri.Kila mtu ameota pembe.
Ni walewale, vilevile
 
Mwandishi wa Habari mkongwe Gordon Kalulunga anadai kusakwa na Jeshi la Polisi kila Kona ya jiji la Mbeya.

Kwa maelezo yake Kalulunga anasema tarehe 6 mwezi huu saa sita mchana alipigiwa simu na Msaidizi wa OCCID wilaya ya kipolisi Mbalizi Christopher Makawia na kumwambia, "tukutane pale Benki ya NMB Mwakapangala jijini Mbeya kwa mazungumzo".

Kalulunga anadai alipofika alikuta gari la Polisi na maaskari wenye silaha za moto akapitiliza kuwapotezea.

Anadai, "aliendelea kunipigia lakini sikupokea kwa nini aniite maeneo yale na si kituoni".

Kalulunga anayemiliki blogu maarufu Mbeya ya Sauti ya Nyikani amekuwa mkosoaji wa matumizi ya Fedha za umma zinazoletwa mkoani humo.

"Nimepata taarifa kuwa ni DED ameagiza nikamatwe kueleza wapi ninatoa Siri za Serikali na kuandika mtandaoni".

Kalulunga ametoweka nyumbani kwake na ameeleza anaishi mafichoni kuhofia mazingira hayo.

My take: Haya mambo ya Polisi au Watumishi kutishia au kujenga uadui na wanahabari yaliachwa na kuondoka na awamu ya 5.
Tumerudi kule kule
 
Back
Top Bottom