Ndiyo,muache kuhoji mambo ya mapato na matumiziDuh...!.
P
..Na wanaweza kusema kwenye upekuzi huo wamekuta bastola na bhangi...Nchi ngumu sana hiii wallahSoon mtasikia nyumba yake imefanyiwa upekuzi na wameondoka na laptop na baadhi ya makabrasha. Mambo ya kutekana yanaanza kurudi.
PGO???😆😆😆😆😆Mie sielewi jeshi la police KWa Sasa wakosa KAZI za kufanya, ebu achen Mambo aya jeshi la police ,jikiten KWa Mambo ya msingi ya nchi , KWa mjibu wa taratibu zenu na maelekezo ,na mwongozo wa KAZI zenu, ethics
Mbeya DED ndio yule askari polisi hivi aliwekwa pale kumdhibiti sugu? Basi sawa naelewa sasa hawataki kukosolewa wanataka kuhomola tuuuu ukute huyo waziri Ummmy anamuogopa kumgusa....ingekuwa raia angetaka sifa na kumsimamisha......ina maana hajui ?Mwandishi wa Habari mkongwe Gordon Kalulunga anadai kusakwa na Jeshi la Polisi kila Kona ya jiji la Mbeya.
Kwa maelezo yake Kalulunga anasema tarehe 6 mwezi huu saa sita mchana alipigiwa simu na Msaidizi wa OCCID wilaya ya kipolisi Mbalizi Christopher Makawia na kumwambia, "tukutane pale Benki ya NMB Mwakapangala jijini Mbeya kwa mazungumzo"...
Naona hapa umeweka break kali! Duh...!..Duh...!.
P
Umeongea vizuri sana kiuzalendo na kwa weeledi. Cha kujiuliza je mamlaka huzingatia pia ukkasi hususani tuhuma mfano kuyabaini yanayoandikwa na huyu Kalulunga ili wanaopaswa kuwajibishwa wachunguzwe, na Takukuru utendaji wa juu ya uchunguzi ni chombo kuingia na kuchunguza ofisini zozote au hadi woambwe au waagizwe?Kwanza, tunakubaliana kimsingi kitisho dhidi ya waandishi wa Habari wanaofanya kazi kwa mujibu wa sheria, hakikubaliki kabisa. Pili, pia kuchukua siri za Serikali kinyume cha sheria pia haikubaliki....
Legacy bado inaheshimika
Si kumemsaidia kujulisha jamii kinachoendelea Kati yake na polisi angekuwa polisi tungepata taarifa wapi? Mzee hicho kupara kipya cha uchawi?Sasa aripoti kituo cha polisi huko mafichoni kutamsaidia nini!
Shida Sana,na tumewachoka ,mbaya zaidi wananchi wameanza wazoea Sana ,na ni wao watufikisha hapa KWa Mambo ya ajabuPGO???😆😆😆😆😆
Ameitwa polisi!? Hizi elimu zenu wanakijani inabidi zichunguzwe pamoja na vichwa vyenu.Sasa aripoti kituo cha polisi huko mafichoni kutamsaidia nini!
Acha unafiki utakufa mdomo waziDuh...!.
P
Na mtoto wake ni kada wa uvccm yupo kateuliwa Handeni