Mwandishi wa Habari Arusha Mbaroni kwa kumfuatilia Isabela wa CORONA

Kwani tatizo lipo wapi? Mbona Mwana FA anahojiwa na Wanaripoti

Acheni Kutetea Upumbavu
Nchi ambayo raia wengi tu wanatetea upumbavu wa censorship ni vigumu kuendelea.

Kwa sababu viongozi daima wanaweza kuweka sheria za ajabu za kuzuia habari zisizowaoendeza kuanikwa, na viongozi wataiba, wataongoza vibaya.

Habari zitazimwa.

Na raia wengine wanaoumia kwa habari kuzimwa watashangilia ubabe huo wa serikali.

Hapo nchi kuendelea ni vigumu.

Ukiangalia nchi zilizoendelea zote zina uhuru wa habari.

In fact, uhuru wa habari ni kigezo cha maendeleo.

Nchi ikiwa haina uhuru wa habari, haiwezi kujiita imeendelea.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Utaratibu gani?

Unaweza kuuweka hapa au unakisia tu?

Unaelewa kwamba wananchi kupata habari sahihi zinazohusu mambo yao na kwa wakati ni haki ya kikatiba?
Unaongea kama hakuna jambo linaloweza mfanya muandishi wa habar asichukue habar;yapo mengi tu yanayoweza mfanya asitende hivyo.. Mbona mwana fa alihojiwa tukasikia... Ina maana huyu mwandishi yeye wameona wamwonee bila sababu wala kosa? Yawezekana kuna utaratibu umewekwa ili kuwahoji wagonjwa wa corona. Kama hakuufuata unategemea nn?
Huwezi nambia mimi nakisia sababu nawe unakisia pia
Hakuna mwenye uhakika ni kipi hasa kimefanyika.Kama kaonewa au Kakosa. Subir taarifa.
 
Mwandishi wa habari wa kituo cha Azam TV Arusha..Ramadhan Mvungi akiwa katika kazi zake za kufuatilia hali ya mgonjwa wa Corona Isabela, ameshikiliwa na polisi na kuchukua simu yake ya Mkononi.

Bado sababu za kushikiliwa kwake hazijafahamika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Isabela zilikuwa sarakasi tu , sasa unapomfuatilia maana yake unataka kufukua mambo
 
Ingekuwa kwa sim asingekamatwa! Yeye alikuwa anataka kumuhoji .
Ina maana yeye haogopi?
Piga kamba weka ndani kwa siku 14.
Wewe jamaa unataacha lini kukurupuka huyo mwandishi sisi tupo nae huku ndio tunajua.
 
Wacha abanwe aache kiherehere... Taarifa za corona zinatolewa na serikali pekee.

We unadhani kwanini ummy, majaliwa na dr abad ndio waseme ? yan wao wapo dar mgonjwa kaonekana sumbawanga mpaka taarifa ziwafikie wao waje kutangaza si majanga yatakuwa yashatokea sumbawanga ? atakuwa ashawasambazia wangapi ?

ummy alisema hatuwez zuia corona tumwombe mungu tu, sasa hata kumsema mtu ili atengwe mapema ni kosa ? KUNA KITU SERIKALI INAFICHA NA SABABU CORONA HAIFICHIKI TUTAONA MWISHO WAKE


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Utaratibu gani?

Unaweza kuuweka hapa au unakisia tu?

Unaelewa kwamba wananchi kupata habari sahihi zinazohusu mambo yao na kwa wakati ni haki ya kikatiba?
Sasa hiyo katiba yke na korona ngoja akalale lupango kwa siku14 wakimpima corona kwanza!
Maana hata kupeana mikono nihaki ya kikatiba!
Haki isiyo na mipaka ni uenda wazimu , nahii ya kila kitu haki ndio maana watu wanadinyana waume kwa waume!
 
Sababu ndo hyo! Wameambiwa taarifa zitakuwa zinatolewa na Mh Ummy Mwalimu, Mh Majaliwa Kasim Majaliwa na dk Abas sasa anaenda kumfatilia ili akareport kitu juu ya huyo mgonjwa?

Unaona sasa?

Una suspend uhuru wa habari sababu ya serikali?

Fvck yall!
 
We jamaa ni zaidi ya zezeta,yule ni mwandishi wa habari lazma atoe mwendelezo wa habari aliyoianzisha. Kwani ni nani asiejua Isabela ni mgonjwa wa corona? Akili za CCM hata paka hawezi kuzikubali
Sababu ndo hyo! Wameambiwa taarifa zitakuwa zinatolewa na Mh Ummy Mwalimu, Mh Majaliwa Kasim Majaliwa na dk Abas sasa anaenda kumfatilia ili akareport kitu juu ya huyo mgonjwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hiyo katiba yke na korona ngoja akalale lupango kwa siku14 wakimpima corona kwanza!
Maana hata kupeana mikono nihaki ya kikatiba!
Haki isiyo na mipaka ni uenda wazimu , nahii ya kila kitu haki ndio maana watu wanadinyana waume kwa waume!
Hutakibm watu watumie haki zao za kikatiba?

Wakati hata wewe hapa JF unatumia haki yako ya kikatiba?

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Back
Top Bottom