Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
George Mwigulu wa Gazeti la Majira amekamatwa wakati akiupiga picha msafara wa Wanawake wa Chama cha ACT Wazalendo
Wanawake hao walikuwa katika shamrashamra za kusheherekea siku wa Wanawake Duniani
Tukio hilo limetokea wakati wa majibizano kati ya Jeshi la Polisi na Wanawake wa chama hicho
Mapema leo, Jeshi la Polisi lilitoa taarifa ya kuwataka Wanawake wa ACT Wazalendo kusitisha shughuli zao na kuwaomba waungane na Wanawake wengine kwenye maadhimisho ya kitaifa
Wanawake hao walikuwa katika shamrashamra za kusheherekea siku wa Wanawake Duniani
Tukio hilo limetokea wakati wa majibizano kati ya Jeshi la Polisi na Wanawake wa chama hicho
Mapema leo, Jeshi la Polisi lilitoa taarifa ya kuwataka Wanawake wa ACT Wazalendo kusitisha shughuli zao na kuwaomba waungane na Wanawake wengine kwenye maadhimisho ya kitaifa