Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Yule mwandishi wa dira aliyeripoti wabunge wa ccm kuvamia chadema,amepigwa na kuumizwa vibaya na green guard.
Alipigwa nje ya hotel ya peak walikofikia viongozi wa ccm,akitoka kufanya mahojiano na Ester Bulaya mmoja wa wabunge waliovamia hotel ya chadema,ndipo vijana wa ccm walipoanza kumpa kichapo
Alipigwa nje ya hotel ya peak walikofikia viongozi wa ccm,akitoka kufanya mahojiano na Ester Bulaya mmoja wa wabunge waliovamia hotel ya chadema,ndipo vijana wa ccm walipoanza kumpa kichapo