Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
Mwandishi wa vitabu na makala maarufu Profesa Salman Rushdie amevamiwa na kuchomwa kisu akiwa kwenye mhadhara na anaedhaniwa kua ni muumini wa dini ya kiislamu huko New York.
Kwa Tusiofahamu Bwana Rudhdie ndie muandishi wa Kitabu cha Satanic Verses ambacho kinasema kua dini ya kiislamu na Quran imejaa mistari ya kishetani kwani kamba Quran iliandikwa na anaeitwa Mungu na kama ni Mungu basi ni kama amechanganyikiwa kabisa. Kwamba version ya Mungu wa kwenye Quran ni mungu aliechanganyikiwa.
Bwana Rushdie ana Fatwaa nyingi Duniani ikiwemo ya Kiongozi wa dini ya kiislamu nchini Iran Bw. Kohmein mwaka 1988 ya kutaka Rudhdie auwawe mahala popote atakapokua na kichwa Chake kipelekwe Iran. Hiii Fatwaa inamtaka muislamu yoyote mahala popote akimuoa Rudhie amuue.
Kwa Tusiofahamu Bwana Rudhdie ndie muandishi wa Kitabu cha Satanic Verses ambacho kinasema kua dini ya kiislamu na Quran imejaa mistari ya kishetani kwani kamba Quran iliandikwa na anaeitwa Mungu na kama ni Mungu basi ni kama amechanganyikiwa kabisa. Kwamba version ya Mungu wa kwenye Quran ni mungu aliechanganyikiwa.
Bwana Rushdie ana Fatwaa nyingi Duniani ikiwemo ya Kiongozi wa dini ya kiislamu nchini Iran Bw. Kohmein mwaka 1988 ya kutaka Rudhdie auwawe mahala popote atakapokua na kichwa Chake kipelekwe Iran. Hiii Fatwaa inamtaka muislamu yoyote mahala popote akimuoa Rudhie amuue.