Mwandishi Oscar Oscar achukua fomu kugombea nafasi ya Urais TFF

Namjua tokea akitoka Kufundisha Shule ya Msingi Wilayani Kinondoni huku akigombania 'DalaDala' na Musa Kawambwa ( sasa yupo Azam Media katika Redio yao ya Uhai FM ) kutokea pale zilipokuwa Ofisi za EFM Jengo la K-Net Kawe akiwa Hobela Hobela ( Choka Mbaya ) mno Kimaisha na Mdomo ukiwa umemkauka na Bahasha yake Kwapani.

Oscar Oscar ni mwana Simba SC ' lia lia ' kabisa japo kwa sasa nimeshangaa sana baada ya kupata Pesa kutokana na Kupigiwa pande Super Sports na Maulid Kitenge na Marehemu Ephraim Kibonde ( huku akianza kupata Exposure za Kusafiri nje ya nchi na kupanda Ndege mara ta Kwanza tena akiwa Ukubwani hivyo ) amebadilika na kuwa ni mwenye Dharau na Nyodo kiasi cha Kutushangaza wengi tunaomjua atokako na yaliyokuwa Maisha yake.

Nakataa na sijui kwanini mnamuita Oscar Oscar ni Mwandishi wa Habari wakati Kitaaluma si mwana Habari bali ni Mwalimu tu na Mchambuzi wa Soka na huu Uchambuzi ndiyo umemtambulisha mpaka Maulid Kitenge kumpigia pande EFM na akaachana na Ualimu wake uliokuwa ukimfanya avae Nguo zake za Kupauka 24/7 alipokuwa akianza Kuchambua Mpira EFM.

Hivi sasa Oscar Oscar anamalizia Shahada yake ya Mawasiliano ya Umma ( Mass Communication ) Tumaini University ya Mwenge akiwa ametanguliwa na akina Erick Shigongo ( sasa Mbunge ) na Florian Kaijage waliomaliza na Kuhitimu hapo hapo mwaka Jana Shahada zao za Kwanza.

Hata hivyo mlio karibu na Oscar Oscar mshaurini sana aachane na Anasa za dunia ( hasa Umalaya na Pombe ) kwani Pesa alizopata Ukubwani hivi na Kumiliki Gari lake la Harrier na Kupanga katika ' Appartment ' Kawe Beach zinamzuzua sana na kumpa Kiburi, Kujisikia na Kudharau kila Mtu kutokana na Ushamba ( Umbwiga ) wake aliokuwa nao kwa muda mrefu tokea Kijijini Kwao Kaliua Mkoani Tabora.

Kiuchambuzi hana ' Mpinzani ' Tanzania.

Cc: Ghazwat
Mkuu GENTAMYCINE tumemuita hivyo kulingana na anavyojiita akihojiwa kwenye Social Media na vile vile anavyojitambulisha hasa kwenye ukurasa wake wa Instagram.

Lakini umetupa somo bomba kuwa unajua Kinagaubaga jinsi alivyokuwa hapo awali na mpaka hivi wa leo, asante sana.

Ni Mchambuzi ambaye yupo vizuri na huwa namfuatilia kwenye michezo na naungana nawe kuwa hana mpinzani, ukiachilia mbali ule Uchale wake anaofanya kwenye ukurasa wake wa Instagram 'Kipa Katoka'.
 
Shida ni itikadi za Simba na Yanga na ni vigumu kumpata Kiongozi ambae hana upande kwa hizi Timu mbili.

Ukiwa Kiongozi wa Michezo wa nchi hii huwezi kupendwa na kilamtu, hata Malinzi alivyokuwa madarakani wadau wa Simba waliona kama hawatendewi haki angalau uongozi wa Tenga kidogo haukuwa na hizi chuki.
Hapa Tanzania kuna mtu ambaye siyo shabiki wa simba au Yanga?
 
Hakuna.

Yaani ni kama jinsia tu, ni either uwe mwanaume au mwanamke.
Mimi mwenyewe ni mwanasimba lialia na siwezi kulificha hilo. Hata akina mama lazima utakuta wamegawanyika hivyo.

Karia kajitahidi sana kuendesha soka letu kwa weledi na ule wizi wizi pale TFF umepungua.

Chini ya Karia ligi yetu imeboreka sana ndiyo maana tunapata na udhamini mkubwa wa haki za matangazo tu wameweka program ya kuboresha viwanja,kuna ligi ya wanawake na mdhamini yupo, ligi ya under 17, ligi ya under 20.timu yetu ya taifa kwa mara ya kwanza baada ya miaka 30 chini ya uongozi wa Karia imecheza AFCON ndani ya muda huo huo Simba Katinga robo fainali CAF mara mbili, Namungo kacheza hatua ya makundi.

Baada ya Tenga Karia ndiyo kiongozi sahihi wa TFF.
 
Mimi mwenyewe ni mwanasimba lialia na siwezi kulificha hilo. Hata akina mama lazima utakuta wamegawanyika hivyo.

Karia kajitahidi sana kuendesha soka letu kwa weledi na ule wizi wizi pale TFF umepungua.

Chini ya Karia ligi yetu imeboreka sana ndiyo maana tunapata na udhamini mkubwa wa haki za matangazo tu wameweka program ya kuboresha viwanja,kuna ligi ya wanawake na mdhamini yupo, ligi ya under 17, ligi ya under 20.timu yetu ya taifa kwa mara ya kwanza baada ya miaka 30 chini ya uongozi wa Karia imecheza AFCON ndani ya muda huo huo Simba Katinga robo fainali CAF mara mbili, Namungo kacheza hatua ya makundi.

Baada ya Tenga Karia ndiyo kiongozi sahihi wa TFF.

Ila kuongoza mpira kwa nchi ambazo siasa zinaathiri utendaji ni changamoto sana.

Binafsi Tenga ningetamani aendelee uongozi kwa vipindi vingi zaidi, maana jamaa alipiga kazi sana.
 
Mkuu GENTAMYCINE tumemuita hivyo kulingana na anavyojiita akihojiwa kwenye Social Media na vile vile anavyojitambulisha hasa kwenye ukurasa wake wa Instagram.

Lakini umetupa somo bomba kuwa unajua Kinagaubaga jinsi alivyokuwa hapo awali na mpaka hivi wa leo, asante sana.

Ni Mchambuzi ambaye yupo vizuri na huwa namfuatilia kwenye michezo na naungana nawe kuwa hana mpinzani, ukiachilia mbali ule Uchale wake anaofanya kwenye ukurasa wake wa Instagram 'Kipa Katoka'.
Ndiyo Mchambuzi pekee wa Michezo nchini Tanzania ambaye ( japo ni Simba SC hasa ) ila akiwa Kazini EFM ( anachambua ) huwezi kujua kama ni Simba au Yanga tena mara nyingi kukifanyika ' Upuuzi ' Simba SC Kwetu ndiyo huwa ' anatuponda ' kweli kweli na 75% ya ' Uchambuzi ' wake huwa unafanyiwa Kazi na Simba SC, Yanga SC na hata huko TFF Kwenyewe.

Binafsi namkubali na ana 'IQ'Kubwa pia.
 
Namjua tokea akitoka Kufundisha Shule ya Msingi Wilayani Kinondoni huku akigombania 'DalaDala' na Musa Kawambwa ( sasa yupo Azam Media katika Redio yao ya Uhai FM ) kutokea pale zilipokuwa Ofisi za EFM Jengo la K-Net Kawe akiwa Hobela Hobela ( Choka Mbaya ) mno Kimaisha na Mdomo ukiwa umemkauka na Bahasha yake Kwapani.

Oscar Oscar ni mwana Simba SC ' lia lia ' kabisa japo kwa sasa nimeshangaa sana baada ya kupata Pesa kutokana na Kupigiwa pande Super Sports na Maulid Kitenge na Marehemu Ephraim Kibonde ( huku akianza kupata Exposure za Kusafiri nje ya nchi na kupanda Ndege mara ta Kwanza tena akiwa Ukubwani hivyo ) amebadilika na kuwa ni mwenye Dharau na Nyodo kiasi cha Kutushangaza wengi tunaomjua atokako na yaliyokuwa Maisha yake.

Nakataa na sijui kwanini mnamuita Oscar Oscar ni Mwandishi wa Habari wakati Kitaaluma si mwana Habari bali ni Mwalimu tu na Mchambuzi wa Soka na huu Uchambuzi ndiyo umemtambulisha mpaka Maulid Kitenge kumpigia pande EFM na akaachana na Ualimu wake uliokuwa ukimfanya avae Nguo zake za Kupauka 24/7 alipokuwa akianza Kuchambua Mpira EFM.

Hivi sasa Oscar Oscar anamalizia Shahada yake ya Mawasiliano ya Umma ( Mass Communication ) Tumaini University ya Mwenge akiwa ametanguliwa na akina Erick Shigongo ( sasa Mbunge ) na Florian Kaijage waliomaliza na Kuhitimu hapo hapo mwaka Jana Shahada zao za Kwanza.

Hata hivyo mlio karibu na Oscar Oscar mshaurini sana aachane na Anasa za dunia ( hasa Umalaya na Pombe ) kwani Pesa alizopata Ukubwani hivi na Kumiliki Gari lake la Harrier na Kupanga katika ' Appartment ' Kawe Beach zinamzuzua sana na kumpa Kiburi, Kujisikia na Kudharau kila Mtu kutokana na Ushamba ( Umbwiga ) wake aliokuwa nao kwa muda mrefu tokea Kijijini Kwao Kaliua Mkoani Tabora.

Kiuchambuzi hana ' Mpinzani ' Tanzania.

Cc: Ghazwat
Punguza chuki mtoto wa kiume,pesa zake na ww tafuta zako
 
oscar oscar wa instagram na huyu aliyechukua fomu ni watu wawili tofauti ata ukimsikilza akiwa redioni jamaa ana madini kichwani ya mpira
 
Yeye Oscar na Kitenge wanapenda mno kuwa na Earphone muda wote sijui kwanini...!
Oscar Oscar ndiye amemuiga huo Mtindo Maulid Kitenge na siyo Siri Mtu aliyembadilisha na Kumtambulisha katika dunia hii ya Kisasa Oscar Oscar ni Maulid Kitenge na Vitu vingi ( hasa vya Kimaisha ) avifanyavyo Oscar Oscar anamuiga Maulid Kitenge ambaye huko nyuma walikuwa ni ' Washkaji ' wakubwa sana ila kwa sasa Urafiki wao uko Rehani ( si ule tena ) kwani kuna Mgodi Mmoja wa ' Kibaiolojia ' wanauchimba wote na huo Mgodi umetokea ' Kumkubali ' zaidi Mchimbaji Oscar Oscar.
 
Oscar Oscar ndiye amemuiga huo Mtindo Maulid Kitenge na siyo Siri Mtu aliyembadilisha na Kumtambulisha katika dunia hii ya Kisasa Oscar Oscar ni Maulid Kitenge na Vitu vingi ( hasa vya Kimaisha ) avifanyavyo Oscar Oscar anamuiga Maulid Kitenge ambaye huko nyuma walikuwa ni ' Washkaji ' wakubwa sana ila kwa sasa Urafiki wao uko Rehani ( si ule tena ) kwani kuna Mgodi Mmoja wa ' Kibaiolojia ' wanauchimba wote na huo Mgodi umetokea ' Kumkubali ' zaidi Mchimbaji Oscar Oscar.

We jamaa bana dah!

Sijui unatoaga wapi hizi habari!
 
Back
Top Bottom